Dennis Kitambi mchambuzi bora kuliko wote wa mpira

Dennis Kitambi mchambuzi bora kuliko wote wa mpira

The bubble ipo kwenye imagination zako
nimeleta hii thread nikijua kabisa wapo watu JF watachangia frpm both angles
watakaopinga na kutaja wengine i expected that.....
this is JF where we dare to talk openly...

I cant agree more with you sir! Usikwazike saana; some of us huwa tunaongea parrables ili tuwaachie wengine wazidecode! please continue talking openly; my request is; broaden the sample, scope & horizon. Good luck;
 
ukimtoa Dr leackey Abdalah na Edo kumwembe Dennis Kitambi ndiye mchambuzi bora kuliko wote Tanzania
 
kitambi ni mchemfu sana na huwezi kujua kama ni kocha pia hana utulivu ,mara nyingi anadakia mambo na kuanza kubisha bila kuwa na pointi ,tukubali tukatae Gef lea ndiye mchambuzi bora
ukimtoa Dr leackey Abdalah na Edo kumwembe Dennis Kitambi ndiye mchambuzi bora kuliko wote Tanzania
 
kitambi ni mchemfu sana na huwezi kujua kama ni kocha pia hana utulivu ,mara nyingi anadakia mambo na kuanza kubisha bila kuwa na pointi ,tukubali tukatae Gef lea ndiye mchambuzi bora

Huo ucheshi wake unasaidia nini kwani tunaangalia vichekesho au uchambuzi ?

Gef lea ni mkali sawa ila Dr leackey na Edo noma
 
Huyu jamaa naona ndie mchambuzi bora kuliko wote wa mpira TZ
anaujua mpira
hana sifa na mbwembwe za kijinga
nimesikia pia ni kocha sijui anafundisha wapi na ana historia ipi
ya mpira but so far hakuna anaeweza kubisha uwezo wake wa kuchambua mpira

shafii dauda ndo anaongoza tz
 
Huyu jamaa naona ndie mchambuzi bora kuliko wote wa mpira TZ
anaujua mpira
hana sifa na mbwembwe za kijinga
nimesikia pia ni kocha sijui anafundisha wapi na ana historia ipi
ya mpira but so far hakuna anaeweza kubisha uwezo wake wa kuchambua mpira

Ni proffesional coach alikuwa anafundisha ndanda fc na ndiye aliyeipandisha daraja then akatimuliwa baada ya matokeo mabovu akaenda Azam TV
 
Ngoja niwasikilize leo usiku kuhusu mechi ya Man U na Arsenal maana kabla ya mechi niliwasikia na sasa nataka niwasikie baada ya mechi watasema nini kama alivyosema white wizard
 
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa naona ndie mchambuzi bora kuliko wote wa mpira TZ
anaujua mpira
hana sifa na mbwembwe za kijinga
nimesikia pia ni kocha sijui anafundisha wapi na ana historia ipi
ya mpira but so far hakuna anaeweza kubisha uwezo wake wa kuchambua mpira


vipi kuhusu jeff leah ?
 
vipi kuhusu jeff leah ?

Wadada wengi wanampenda Jeff Leah
but Jeff leah ana boa mno

analysis zake zote ni predictable

maneno ni yale yale.....hawezi kukueleza nini kimetokea cha kiufundi kikabadili matokeo

huyu jinsi juzi alivyoweza kufafanua jinsi kocha wa simba alivyo wabadili tu position wachezaji na kubadili mchezo
nilimheshimu

mtu mwingine angeweza tu kuona ni kawaida
 
Huyu jamaa naona ndie mchambuzi bora kuliko wote wa mpira TZ
anaujua mpira
hana sifa na mbwembwe za kijinga
nimesikia pia ni kocha sijui anafundisha wapi na ana historia ipi
ya mpira but so far hakuna anaeweza kubisha uwezo wake wa kuchambua mpira

Nakubaliana kabisa, Kitambi ni mchambuzi mzuri hasa kwenye kuelezea matukio. Wachambuzi wengi wa nchini wanashindwa kuelezea matukio zaidi ya kutoa mifano mingi kupitiliza ya Ligi za Nje.
Badala ya kuulezea kitu, wachambuzi wanajigeuza google na kutoa mifano mpaka inachosha.

Pia Kitambi anajitofautisha kwa kuelezea matukio au mpira bila kutumia 'cliches' kama ilivyo ada kwa wachambuzi wengi wa nchini.
 
Nakubaliana kabisa, Kitambi ni mchambuzi mzuri hasa kwenye kuelezea matukio. Wachambuzi wengi wa nchini wanashindwa kuelezea matukio zaidi ya kutoa mifano mingi kupitiliza ya Ligi za Nje.
Badala ya kuulezea kitu, wachambuzi wanajigeuza google na kutoa mifano mpaka inachosha.

Pia Kitambi anajitofautisha kwa kuelezea matukio au mpira bila kutumia 'cliches' kama ilivyo ada kwa wachambuzi wengi wa nchini.

Very true anaeleza tactics unazielewa
sio kutwa kusema Man u walifanya vile
 
alikuwa kocha wa Timu ya Ndanda, ikawa ktk hali mbaya wakamtimua, na alikuwa anaamini sana nguvu za giza, siku wanakwenda kucheza na mtibw huko manungu, aliwatembeza wachezaji wake karibu km. 8, polini eti kukwepa misumali (ndumba) ya mtibwa, barabarani!! wakafika uwanjani too late hata muda wa kula hamna wakaingia uwanjani wakachezea 4!!

Mkuu utakuwa umekosea hasa,kati ya watu waliokataa ufigisu ni Kitambi, alifukuzwa kwa kutumia waandishi wa habari ile picha wakipita porini.....


Ukitaka kuona watu wenye fani zao angalia super sports, au skysports, sio hawa waganga njaa tu. We kila mtu amekuwa football analyst!!! bora hata mbwiga ye ame specialise kwenye ndondo, na anaweza.
Hata hao walikuwa wataalamu wametokea huku hakuna aliyezaliwa na kujua kitu bila kujifunza....... dhamini cha kwako.... mcheza kwako hutunzwa....
 
kitambi ni mchemfu sana na huwezi kujua kama ni kocha pia hana utulivu ,mara nyingi anadakia mambo na kuanza kubisha bila kuwa na pointi ,tukubali tukatae Gef lea ndiye mchambuzi bora

edo sawa. dr leakey sidhani; mi naona jeff anajua saana
 
Back
Top Bottom