Dental Implant

Dental Implant

Richbest

Senior Member
Joined
May 23, 2011
Posts
101
Reaction score
24
Habar wadau hapa jamvini mimi niliwahi kung'oa jino la mbele miaka mitano iliopita nikawa natumia jino la bandia ila hivi karibuni nilisikia habar ya dental implant nikaona pengine ni nzur zaid sasa je mimi naweza nikafanya? saivi nipo dodoma vipi clinic inayofanya hapa dodoma na je shida zozote zinazosababishwa nayo ni nini??AHSANTEN
 
Back
Top Bottom