Deo Kisandu aingia studio kutoa album, Rayvanny, Harmonize na Darasa matumbo joto

Deo Kisandu aingia studio kutoa album, Rayvanny, Harmonize na Darasa matumbo joto

.
JamiiForums-1285264001.jpg

Baada ya ujio wa Deo, Harmonize amechanganyikiwa masikini!!
 
Don Nalimison hebu njoo utoe ufafanuzi juu ya hizi tetesi. Niko tayari kuwa Meneja wako. Nakuhakikishia tutatengeneza Menejimenti ya hatari sana Tanania, Afrika na Ulimwenguni kwa ujumla.

Tukipata na ule mzigo wetu wa kutoka ICC hakika hawa wakina Diamond, Ali Kiba, Harmonize, Nandy, na wengineo wengi! Watakuja kujipanga studio wenyewe kuomba korabo na Mkali mwenyewe Mh. Rais Mtarajiwa Deo kisandu! a.k.a Don Nalimison! a.k.a Masqo, a.k.a Mwalimu wa walimu, a.k.a Nelson Mandela wa Bongo.
Huyu jamaa hawezi kuwa serious aiseeh.Hii post imenifanya nigundue kuwa,kumbe kuna watu wanapewa uzito sana kulingana na mada wanazoleta hapa Jf huku ikiwa ni kinyume kabisa na uhalisia wa maisha yao mtaani.

Huyu jamaa namjuanje ndani.Mara ya mwisho kabla sijahamishwa kazi mkoa wa mwanza, alikuwa akifunzisha shule moja hivi ya sekondari inaitwa MKOLAN, baadae akakamatwa.

Huwa ninacheka sana ninaposoma habari zake humu, kwakua nyingi huwa zinamchora kama mtu fulani hivi mkubwa.
 
alishaweka docs za hospital alizopimwa na kuonekana ni mzima hana tatizo la akili

tatizo alilonaloni la maumbile yakekua madogo kama ya mtoto wa darasa la pili na anasubiri dawa alioiagizia ifike, bahati mbaya uzi ule mods wakaufuta.
😂😂😂😂😂
 
Huyu jamaa hawezi kuwa serious aiseeh.Hii post imenifanya nigundue kuwa,kumbe kuna watu wanapewa uzito sana kulingana na mada wanazoleta hapa Jf huku ikiwa ni kinyume kabisa na uhalisia wa maisha yao mtaani.

Huyu jamaa namjuanje ndani.Mara ya mwisho kabla sijahamishwa kazi mkoa wa mwanza, alikuwa akifunzisha shule moja hivi ya sekondari inaitwa MKOLAN, baadae akakamatwa.

Huwa ninacheka sana ninaposoma habari zake humu, kwakua nyingi huwa zinamchora kama mtu fulani hivi mkubwa.
Ila to be honest, ni mtu wa kuthubutu kafanya makubwa kwa age yake hata kama hayamletea matokeo.

Alishawahi kupokelewa kwenye mkutano mkubwa na Kinana na Nape wa CCM. Ingekuwa awamu hii ya machizi, probably angekuwa mkuu wa Mkoa.

Aligombea ubunge Lushoto 2010 enzi hizo ndiyo vijana wameanza kuwa moto na mageuzi. Huwezi kuitaja BAVICHA Tanga bila kumtaja jamaa.

Alikuwa kiongozi wa vijana Taifa ( NCCR Mageuzi ) na mjumbe wa Mkutano mkuu na pia kabla hajafungwa alikuwa ni mwalimu Mkolani.

Ni vijana wangapi wenye uthubutu wa aina hii nchi hii ??

Sema tu jamaa ni sijuo amechezewa, ameshindwa kabisa kutunza anachokipata.
 
ngoma nazozikubali ni ile ya shake your body yule manzi aliua mule cyo kwa mauno yale ni kwikwi

na ile ya konguladulesheni (in don voice )
 
ngoma nazozikubali ni ile ya shake your body yule manzi aliua mule cyo kwa mauno yale ni kwikwi

na ile ya konguladulesheni (in don voice )
Jamaa anajitahidi. Mimi nilimshauri kama anataka kweli kupta pesa kwenye Muziki, aimbe Kisukuma.

Anaweza kuchangana na Kiswahili.

Kanda ya Ziwa, mzunguko wa shows kwa nyimbo za aina hiyo ni mkubwa.

Na kuna Wasanii kibao kama kina BK Sande, Bhudagala, Mchelemcheke, Ya Leo kali, Lady Killy,

Tatizo lake anavunga Chris Breezy, anaimba Kiingereza 🤣🤣🤣🤣🤣
 
View attachment 1696853
Mpaka sasa taarifa inayotambaa na kutrend mitandaoni ni inshu ya msanii wa kizazi kipya Don Nalimison maarufu kama Deo Kisandu kuachia album yake iliyopewa jina ANTIBIOTIC ALBAM.
Baada tu yakutangaza ujio wa albamu hiyo wachambuzi wakubwa wa muziki waliwaonea huruma wasanii kadhaa wa bongo fleva waliotoa albamu zao hivi karibuni kuwa walifanya vibaya kutoa albam kipindi kimoja na Kisandu wasanii hao ni Harmo, Rayvann na Darasa na wengine wakishauriwa kuacha kutoa albam zao mpaka Kisandu akimaliza mwaka sokoni.
Albamu hiyo inabeba mambo kadhaa ikiwemo maisha ya jela, mahusiano na mtoto wa rais(Malia Obama), mitandao ya kijamii na maisha ya siasa.
Stay tuned kupata taarifa hapa hapa JF
Yaani huyo teja ashtue watu
 
Back
Top Bottom