Deo Mwanyika of Bulyanhulu convicted of Tax Evasion

deo alini inspire.

japo wengi waliofanyakazi nae wanamlaumu kwa kushiriki kuwanyanyasa vijana wazawa.(jamaa yangu alikuwa anamlaumu;kama bado hajamsamehe!?)

na hiyo hela ameshalipa kwa ukwasi aliojikusanyia..

bilioni 'is just a peanut' kwake,achilia mbali uwezo wa marafiki zake aliowainua kumchangia
 
Alikuwa anawalazimisha kwenda kufanya kazi? Hao walioenda, hawakuwahi kusikia kuwa wenzoa wamefia migodini?
Nyumbu wanafanya uamuzi gani kuvuka mto wenye mamba? WANA TARGET NA WANAJITOSA MTONI. Wengine wanadakwa na wengine wanaendeleza lengo. Pia corona hivo hivo tufanye kazi.
 
Mission accomplished! TRA cum Kisutu Branch has of late become a major revenue collector.
 
Alikuwa anawalazimisha kwenda kufanya kazi? Hao walioenda, hawakuwahi kusikia kuwa wenzoa wamefia migodini?
Roho zetu waswahili huzijui??
Watu tuliomba kazi wenyewe kisha tukaridhia mikataba tukasaini sisi mwenyewe tukiridhia vigezo na masharti, leo tunamlaumu Deo, kisa tu, alikuwa boss kama mabeberu na mshahara wa kibeberu.

Nilifanya kazi migodini na sub contractors sijawahi kuwa na shida na hao mabeberu. Ndiyo walitupa mishahara ikatupa heshima mjini ati!

Everyday is Saturday............................ 😎
 
Deo kilichomponza ni kukataa dili moja ya wakubwa au vigogo. Ndio wakamsanua wakatafuta weak point wakaipata ndo kama hivyo.
 
Sijui kwa nini Watanzania wengi huwa wana roho za ajabu ajabu. Wengi wanafurahia aliyefanikiwa, tena kwa njia halali, akipatwa na mabaya.

Deo alipoanza kazi Barrick, alikuwa Legal Manager. Kama Legal Manager, jukumu lake kubwa ilikuwa ni kutetea maslahi ya kampuni. Wewe mfanyakazi ukiishtaki kampuni, idara yake ndiyo ilikuwa na jukumu la kwenda kutoa defence kwa kampuni. Akifanya hivyo, wafanyakazi wale wasio na uelewa, chuki kwa Deo na wanasheria wake. Wao walitegemea mtu aliyeajiriwa kwaajili ya kuitetea kampuni, afike mahakamani aanze kumtetea aliyeishtaki Kampuni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi walikuwa na mob mentality, walijiingiza kwenye makundi ya kihalifu, wizi wa mafuta, ulevi kazini, kutokutii kanuni za afya na usalama, walivunja cardinal rules, kwa makusudi!

Walitaka Deo awatetee, ilhali naye ni muajiriwa kama wao na ana job description na score-card ya key performance indicators!
Inasikitisha mno, watz tu wavivu sana, tukitaka upendeleo hata kwenye vitu visivyo na tija!

Deo Mungu atamlipia...binafsi nimeyaishi maisha ya mgodini! Wanasiasa siyo watu wazuri kabisa!

Everyday is Saturday.......................... 😎
 
Hawa walikula kuku kwa mrija enzi za JK.Hiyo pesa hawatashindwa kuitoa.
 
Hela anayo au anajua nani atamlipia,vinginevyo asingeingia mkataba huo na mwanasheria wa serikali AG,anajua analofanya huwezi peleka maombi hayo kama unajua huna hela
 
Aise nimesoma comments hapa. Kama ni kweli, huyu jamaa hafai. Ndio kielelezo kikuu kwanini Afrika inafeli na kuwa ngumu- ni watu kama hawa. They dont care about their own people busy to impress the white people who dont care about him and his kind .
 
VIONGOZI WA ZAMANI WA ACCACIA WAHUKUMIWA

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu aliyekuwa makamu wa Rais wa Kampuni ya Acacia, Deodatus Mwanyika na wenzake kulipa fidia ya shilingi bilioni 1.5 na faini ya shilingi milioni 1.5 au kifungo jela cha miezi minne baada ya kukiri mashitaka ya kukwepa kodi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…