Deogratias Kisandu amepatwa na nini? Tumsaidieni ushauri kijana mwenzetu

Deogratias Kisandu amepatwa na nini? Tumsaidieni ushauri kijana mwenzetu

Bado sijaona kosa lolote la kufanya akamatwe, kupigwa pingu na watu kama wewe kutokwa na mapovu..
Hajamdhuru mtu yoyote, hayo ni maneno tu, watu kama nyie wenye mihemko ndiyo yawafanye msahahau kabisa mambo muhimu yanayotukabili ili kupambana nayo, kama mafuriko, shule za nyasi, huduma za afya, kukeketwa kwa watoto, wabakaji wa watoto wadogo, mauaji ya vikongwe n.k. n.k.
Hayo niliyoorodhesha na maneno ya Deogratius Kisandu YAPI YANATUATHIRI ZAIDI?!
Ndio maana hata Museveni anakubaliana na Trump kwa fikra kama zako...Tutumie akili zaidi kuliko mihemko ya kizuzu kama yako..
Kama huoni tatizo katika haya basi wewe una tatizo
 
Samahani mhusika na wahusika wengine , huyu jamaa Deo bila shaka ni member wa Jf Katiba ipo huru ila inategemea unaitumiaje , ukiitumia vizuri utakuwa huru ila ukiitumia vibaya hauto kuwa huru

Msaada huyu jamaa anatumia jina gani humu Jf
 
Samahani mhusika na wahusika wengine , huyu jamaa Deo bila shaka ni member wa Jf Katiba ipo huru ila inategemea unaitumiaje , ukiitumia vizuri utakuwa huru ila ukiitumia vibaya hauto kuwa huru

Msaada huyu jamaa anatumia jina gani humu Jf
Deogratius Kisandu ndiyo jina analotumia humu
 
Leo nimesikia kwenye kipindi cha Matukio Redio Free Africa kuwa Mwalimuwa Mkolani Sec. Deogratius Kisandu anashikiliwa na polisi kwa kosa matumizi ya mabaya ya mtandao ya mwaka 2015, alituma sms mbaya. Baadaye Mkuu wa Mkoa wa Mwanza naye akamuongelea kuwa Deo kama mtumishi wa umma anafanya vibaya, pia mtu wa TCRA naye akaongelea suala hilo hilo. Deo bwana!!!!
 
Leo nimesikia kwenye kipindi cha Matukio Redio Free Africa kuwa Mwalimuwa Mkolani Sec. Deogratius Kisandu anashikiliwa na polisi kwa kosa matumizi ya mabaya ya mtandao ya mwaka 2015, alituma sms mbaya. Baadaye Mkuu wa Mkoa wa Mwanza naye akamuongelea kuwa Deo kama mtumishi wa umma anafanya vibaya, pia mtu wa TCRA naye akaongelea suala hilo hilo. Deo bwana!!!!
 
Jf humu kwa heshima walimuanzishia SPECIAL THREAD yake jinsi anavyotema madini ya maana humu,hahah.
 
Mimi sijaelewa bado! Huyu bwana bado ni mwalimu anayeingia Darasani na Kufundisha? Kama Yes! Afisa Elimu wa Mkoa au Wilaya yake ni Jipu ,maana kama Raisi amepiga marufuku Watoto wakike wenyewe ujauzito kuendelea na shule ,huyu mwalimu anatoa wapi jeuri ya kuwa Public na kuzungumzia mambo ya Kutomba? Watoto anaowafundisha wako salama kiasi gani?

Asante Mhe. Mwigulu Nchemba . Deo anafaa kutafuta Kazi nyingine na sikufundisha watoto.
 
kwahiyo anapitishwa Dodoma pale au?
wasimsahau na Dr.Shika naye wampeleke milembe
 
Deo alikuwa anapigia debe sana Azuma kuwa inatibu ukimwi hahaha, wamwachie huru comedian wetu jamani. Halafu wale waliodukua akaunti yake ya facebook na kumsaidia kuandika yale matusi Mungu anawaona... Kisandu kavurugwa sana aisee
 
huyu jamaa amepelekwa hosp au bado anashikiliwaa?
 
Back
Top Bottom