Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume wa mkoa hawezi angalia kipindi kama kile.hawa ndio tbc 1 haibanduki mda wote hatajulia wap haya mambo
me mbona wa mkoa naangalia sema huyu mkoani huko swekeni sana radio taifa tu asubuhi matangazo ya bbc haikosi mzeeMwanaume wa mkoa hawezi angalia kipindi kama kile.
Wanaaangalia WANAUME WA DAR
CCMKanunuliwa na nani
Angekuomba Iazima ungemtunuku au vp!?Acha tu nilikuwa nampenda hatari, japo ilikuwa kikifika kipindi chake, mimi na Mr. Inabidigi tugawane tv mmoja sitting room mwingine chumbani, sijui kwa nini wanasemaga ni nanihii... sasaaaa!? Ni kwamba ameacha kabisa kazi itv au vipi jamani? na Lotus sijui ndio bado yupo martenity au nae alishasepa? Sad news for fashoooooooooooooooon industry
[emoji183] since 2012 so nampendea kazi zake tu n not otherwiseAngekuomba Iazima ungemtunuku au vp!?
Mmh wabongo, si mlikua mnamponda jaman, mara hajui kutangaza, mara yupo kama demu leo hii tena kawa mzuri mmhNimesikitishwa sana kwa kuondoka kwa Deo ktk kipindi cha Nivarna...nasikitika kusema hakuna atakayeweza kama Deo kuendesha kipindi kile[emoji24] [emoji24]
Si waniweke mimi warumi jamanMtangazaji wa Kipindi cha urembo na mitindo Nivarna EATV
Dah maskini, sijui ataenda wapi , alikua anajua kujishebedua mwenyewejamani alikirudisha kipindi kwenye track nzuri baada ya Abby kusepa. na yeye aliposimama mwenyewe
tutamiss mambo ya Fashioooon kutoka kwake.
ila nahisi kapata bonge la deal...
Hyo pete vip tena binamu??[emoji183] since 2012 so nampendea kazi zake tu n not otherwise
Tena wewe unafaa, anza kutuma maombiSi waniweke mimi warumi jaman
Kuna huyo jamaa kaniuliza, mzee wa fashooooooni angeniomba si ningemtunuku, ndio nikamjibu kuwa nilishamtunuku mwingineHyo pete vip tena binamu??
Hyo pete vip tena binamu??
Nitalimiss li L.O.L lakeDah maskini, sijui ataenda wapi , alikua anajua kujishebedua mwenyewe