Deogratius Kithama: Miaka 7 ya Nirvana basi!

Deogratius Kithama: Miaka 7 ya Nirvana basi!

Acha tu nilikuwa nampenda hatari, japo ilikuwa kikifika kipindi chake, mimi na Mr. Inabidigi tugawane tv mmoja sitting room mwingine chumbani, sijui kwa nini wanasemaga ni nanihii... sasaaaa!? Ni kwamba ameacha kabisa kazi itv au vipi jamani? na Lotus sijui ndio bado yupo martenity au nae alishasepa? Sad news for fashoooooooooooooooon industry
Angekuomba Iazima ungemtunuku au vp!?
 
Nimesikitishwa sana kwa kuondoka kwa Deo ktk kipindi cha Nivarna...nasikitika kusema hakuna atakayeweza kama Deo kuendesha kipindi kile[emoji24] [emoji24]
Mmh wabongo, si mlikua mnamponda jaman, mara hajui kutangaza, mara yupo kama demu leo hii tena kawa mzuri mmh
 
jamani alikirudisha kipindi kwenye track nzuri baada ya Abby kusepa. na yeye aliposimama mwenyewe
tutamiss mambo ya Fashioooon kutoka kwake.

ila nahisi kapata bonge la deal...
Dah maskini, sijui ataenda wapi , alikua anajua kujishebedua mwenyewe
 
Back
Top Bottom