Uko wapi mjukuu wa kisandu?
nimemis post zako zisizo na mbele wala nyuma. Nilisikia mamwela walikunyaka... ni kweli?
sema na wewe punguzaga matusi aisee
Anamsubiri mtt wa Obama aje kumuwekea zamana uyu padri alikiua anatukana kwa sababu vyuma vimekaza alafu grisi hakupata ila huko segerea ya mwanza hakika ataweka gris bila shaka.