[emoji2] [emoji2] [emoji2] nilibaki kukipiga tu ngumi ya pua (Hehehehe wana darisalama wanakuja kuharibiwa)haya Deo kithama tumekusoma.
joking mkuu.......
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mh we na wanao?Mimi na wanangu tumefurahi umerudi Mzee wa Fashoooooon
Post sent using JamiiForums mobile app
[emoji4] [emoji4] [emoji4] wanajuana hao.[emoji23] [emoji23] [emoji23] mh we na wanao?
karejea kwa Nguvu zote tena anareje na HarmorappaYule jamaa aliyetumbuliwa na wanaJF alienda wapi.? Wana JF walimuanzishia Uzi akaacha kazi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Chezea habari za ushoga?
Na alipokuwa ana hojiwa na kuweka wazi kuwa ana mchumba tayariBora karudi........ We missed him wapenzi wa Fashiiiiiiiiiion
haaaa Loya mbona wanipa bad news......😡Na alipokuwa ana hojiwa na kuweka wazi kuwa ana mchumba tayari
hahahahaha kweli duniani hakuna haki sijajua hadi sasa kwanini binti Heaven on Earth anakuwa single hadi ana msubiri Deo kweli kuna muda naamini wanaume huwa hatujui tunataka nini? bila shaka una mkana mtu hapa hahah sasa wamesha kuovertake Deo wamemuwaihaaaa Loya mbona wanipa bad news......😡
wanasema MSHUMAAA...Yule muongozaji wa kipindi cha Nirvana Kwa nyakati zile anarudi tena sio Mwingine ni Deogratus Kithama, Siku za hivi karibuni ataendelea na Nirvana kama awali (Nimesikia tangazo hilo EA Radio).
Kaeni mkao wa kula.
Sent From Samsung S9 edge using JamiiForum mobile app
[emoji15] kama kweli vle mana anastail za kkike sanaaKuna story zilizuka eti huyo mzee wa Fashooooooon wanambashiteeee.