screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
- Thread starter
- #21
Fury pia alibebwa, refa alifanya delaying kwenye kuhesabu counts, ilipaswa iwe KOWilder atapigwa! Mbwembwe zake zote lakini kwa Fury huwa anazima zake, angalia vizuri gemu yao ya mwisho utajua kwa nini Fury atashinda kama alivyoshinda mwanzo Wilder akapewa mbeleko.
Sent using Jamii Forums mobile app