Vizuri sana kama ni kwemaKwema, sijui kwako.
Pm wapi? Kwani ilikuwa ni Pm? Hebu fasta nakusubiri hapaHahaha pm
Bila shaka ana kazi yake ndio maana anapendezaHongera kwake kwa kuongeza umri[emoji480][emoji512]
Sasa ajikite katika kuchapa kazi
Mvua zipo karibuni anaweza kujikita uko
Dagaa nao wanalipa
Bishara ya kukatakata matunda nakuza nayo si haba
Samaki wakukanga,kuchoma chapati nayo Ni safi
ASITEGEME PESA ZA WANAUME
NB: Ni ushauri tuuh Sina hitilafu na Bday girl
Kiberenge πππHappy birthday ex..
Katoto kapya unamiaka mingapi..?Kiberenge πππ
No worries Hyper, nazitegemea zangu mwenyewe Mkuu.Hongera kwake kwa kuongeza umri[emoji480][emoji512]
Sasa ajikite katika kuchapa kazi
Mvua zipo karibuni anaweza kujikita uko
Dagaa nao wanalipa
Bishara ya kukatakata matunda nakuza nayo si haba
Samaki wakukanga,kuchoma chapati nayo Ni safi
ASITEGEME PESA ZA WANAUME
NB: Ni ushauri tuuh Sina hitilafu na Bday girl
Nimefurahi zaidi! Hapa nasubiria mwaliko wa kula keki[emoji39]Nimefurahi kukuona hapa