Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,952
Wajameni,
Kuna siku niliipongeza ccm hapa ukumbini kwa kuifanya Tanzania nchi ya omba omba. Jana BBC walirusha hewani documentary ya mzungu mmoja anaeishi karibu na Kilimanjaro National Park na anasema kuomba Tanzania kumerasimishwa.
Narudia tena pongezi zangu za dhati kwa wana magamba kwa kutufanya tuonekane omba omba WA kimataifa.
Kuna siku niliipongeza ccm hapa ukumbini kwa kuifanya Tanzania nchi ya omba omba. Jana BBC walirusha hewani documentary ya mzungu mmoja anaeishi karibu na Kilimanjaro National Park na anasema kuomba Tanzania kumerasimishwa.
Narudia tena pongezi zangu za dhati kwa wana magamba kwa kutufanya tuonekane omba omba WA kimataifa.