DEPOPULATION TARGETS TAIWAN: Birth rates over the past year have dropped a whopping 23%, following blind obedience to covid vaccine mandates

DEPOPULATION TARGETS TAIWAN: Birth rates over the past year have dropped a whopping 23%, following blind obedience to covid vaccine mandates

Kaka mimi nimekushauri tu kwa afya yako, why bothering kwa vitu ambavyo huna hata chembe ya uwezo wa kuvibadilisha? Kuangamizwa ingewezekana ingekuwa siku nyingi sana maana hamna tunachoweza zaidi ya udaku, uchawa na connections, hata chakula tu hatujajitosheleza why tusifikirie kulima mahindi, mpunga, maharage tushibe kwanza kabla ya kuumiza bichwa na mambo mazito haya ambayo yapo nje sana ya uwezo wetu?! Vijana wenyewe unaowatahadharisha hawa wa kibongo? Hawataki shida mkuu, lete connection au habari za ngono uone watakavyokufuata Kama nzi, mkuu nakushauri linda moyo wako baba achana na hizi stress zinamaliza tu siku zako na hamna influence utafanya hata kwa wanaokuzunguka tu acha hao mabeberu wanaopiga mambo yao mbali kbs, fikiria wanawaza kuhamia Mars ndugu yangu, utawaweza kweli mzee Mathanzua?
Mzuzu uliona wenzio kwenye ufunguzi wa Commonwealth games walivyokuwa wanamuabudu Shetani a.k.a.Baal?
 
Hahaha mkuu Mathanzua you are so serious brother/baba, this life is so short na NWO ni failed project! Sasa hivi ni maisha beyond the world yanatafutwa probably in Mars. Wewe mzee wangu unateseka Dar sijui mikoani kwa kitu kilichosahaulika!

There’s nothing as NWO tena na tupo kwenye metaverse na virtual reality so achana na mambo ya kizamani boss wangu!
 
Mzuzu uliona wenzio kwenye ufunguzi wa Commonwealth games walivyokuwa wanamuabudu Shetani a.k.a.Baal? Watch this👇




Hapa ndipo wanadamu walipofika,aibu sana.

Hamna shetani boss, it’s an old mirth and concept, maisha hayapo complicated hivyo mkuu! Unatumia nguvu nyingi sana kufikiria Vitu ambavyo havipo
 
Hahaha mkuu Mathanzua you are so serious brother/baba, this life is so short na NWO ni failed project! Sasa hivi ni maisha beyond the world yanatafutwa probably in Mars. Wewe mzee wangu unateseka Dar sijui mikoani kwa kitu kilichosahaulika! There’s nothing as NWO tena na tupo kwenye metaverse na virtual reality so achana na mambo ya kizamani boss wangu!
You cannot be salvaged,you are gone.AI yenyewe is a tool to finish you off,wewe unaikenulia,mjinga kweli kweli.And you shamelessly say the NWO is a failed project,what is the WEF, who is Klauss Schwab,and what are they going to do at Davos.And the Bildeberg Group?Mpuuzi kweli kweli,kwa heri,kaa na uzuzu wako.
 
Hivi Rais Samia akisoma hii habari anajisikiaje? Ndiyo maana anachukiwa mno kwa kulazimisha kwake chanjo ya COVID-19
 
Hamna shetani boss, it’s an old mirth and concept, maisha hayapo complicated hivyo mkuu! Unatumia nguvu nyingi sana kufikiria Vitu ambavyo havipo
🙏Goodbye.
 
Mathanzua kama sio msabato basi ni mlokole wale wasiojitambua kabisa kazi kuokoteza vimatukio na kuketa story za kubumba. Jitambue mkuu dunia haiwezi kuangamizwa wewe ndio utaangamia.

Ndiomana Pro russia wenzio kule walikupiga vita sana na viuzi vyako vya copy and paste.
 
Mathanzua kama sio msabato basi ni mlokole wale wasiojitambua kabisa kazi kuokoteza vimatukio na kuketa story za kubumba. Jitambue mkuu dunia haiwezi kuangamizwa wewe ndio utaangamia.

Ndiomana Pro russia wenzio kule walikupiga vita sana na viuzi vyako vya copy and paste.
Mpuuzi kweli kweli wewe.Kule kwenye uzi wa Russia-Ukraine conflict wenzio wasiponisikia wanauliza, vipi Mzee hujapata chochote,tunasubiri, halafu wewe unaleta ngonjera zako hapa.
Mimi nipo JF kwa nia moja tu,kufunua siri za baba yenu Shetani,and you will not deter me, I will do that until my last breath, because God has commissioned me to do that.Yes,mimi nimeokoka ndio maana I am so determined to save God.

Labda niku-ulize,kwani wewe unamuelewaje Msabato,au labda niulize hivi,"kwa nini unawachukia?"
 
Mpuuzi kweli kweli wewe.Kule kwenye uzi wa Russia-Ukraine conflict wenzio wasiponisikia wanauliza, vipi Mzee hujapata chochote,tunasubiri, halafu wewe unaleta ngonjera zako hapa.
Mimi nipo JF kwa nia moja tu,kufunua siri za baba yenu Shetani,and you will not deter me,I will do that until my last breath,because God has commissioned me to do that.Yes,mimi nimeokoka ndio maana I am so determined to save God.

Labda niku-ulize,kwani wewe unamuelewaje Msabato,au labda niulize hivi,"kwa nini unawachukia?"
Hey hey calm down ! Grand pal , matusi ya nini ?
 
Mpuuzi kweli kweli wewe.Kule kwenye uzi wa Russia-Ukraine conflict wenzio wasiponisikia wanauliza, vipi Mzee hujapata chochote,tunasubiri, halafu wewe unaleta ngonjera zako hapa.
Mimi nipo JF kwa nia moja tu,kufunua siri za baba yenu Shetani,and you will not deter me,I will do that until my last breath,because God has commissioned me to do that.Yes,mimi nimeokoka ndio maana I am so determined to save God.

Labda niku-ulize,kwani wewe unamuelewaje Msabato,au labda niulize hivi,"kwa nini unawachukia?"
Wapi nimesema nawachukia? Wewe kama una mtumikia Mungu kama unavodai endelea tu ila the so called mwisho wa dunia haupo utaishia wewe. Acha kupotoshwq na hizo articles ambazo hazina uhalisia.
 
Mathanzua kama sio msabato basi ni mlokole wale wasiojitambua kabisa kazi kuokoteza vimatukio na kuketa story za kubumba. Jitambue mkuu dunia haiwezi kuangamizwa wewe ndio utaangamia.

Ndiomana Pro russia wenzio kule walikupiga vita sana na viuzi vyako vya copy and paste.
Nyamaza ibilisi.
 
Back
Top Bottom