Depression inaniathiri, nakaribia kujiua

hilo tukio la kwanza mimi naona ni kawaida ningepotezea.

hilo la pili huyo msichana ningemzibua kofi ambalo bila shaka asingesimama kabla ya dk5 na hako kajamaa kake kakileta ubabe tungemalizana kiume kufa kupona either unipige au nikunipige mpaka nihakikishe wewe sio threat kwangu tena.
niwe clear sitaki utani kabisa juu ya chochote kinachonihusisha mimi yaani huwezi kunijugde vibaya alafu ubaki salama nakuangalia tu au nicheke hapana tunamalizana sababu wewe ndio umechokoza vita.
kiuhalisia ningekuwa wewe huyo msichana asingeweza kuniangalia usoni hata mara mbili hata kama masikio yangu yangekuwa kama dishi la azam au dstv.

hilo namba tatu ningewafata hao jamaa then ningewauliza warudie walichokisema huku nipo serious na sura ambayo hata bundi angeacha kukuangalia kwa uoga.
alafu ningescan chochote kutoka kwenye miili kama ni mikono au pua kubwa then ningewarudishia disstrack ambayo wasingeamini alafu kama tungemalizana kwa maneno au vinginevyo trust me wasingerudia tena hiyo tabia mbovu.

kuhusu hilo la mwalimu huyo mwalimu ningejipanga kwenye somo lake then ningemtafutia siku nimdharirishe kwenye somo lake mwenyewe then heshima ingekuwepo au anichukie.


mimi ni 17 mwembamba kiasi ila ni 6feet pia mpole kama hunijui ila ukinijaribu utafurahi hakuna mtu anayejaribu kunichezea au kunitania to be honest watu wazima wengi ninapoishi wananiheshimu au wengine kunichukia na kuniogopa, vyote hivyo sio coincidence bali ni life style niliyoipanga mwenyewe kwa kujua kucheza na akili za watu na kuwazidi akili.

sababu kabla nilikuwa kama wewe kiufupi ni kuweza kujiamini na kupandikiza fear kwenye akili zao badala ya wao kupandikiza fear kwako then unabaki na hiyo aura. pia kujua tabia za watu na akili zao na kujua weaknesses zao na kujua anachokifikiria mtu hivyo unajua unaplay nae vipi, kuna mengi ya kujua kuhusu binadamu then hatokupa shida ni kama mbwa tu au mnyama mwengine yoyote wa porini.
mbwa anaweza kuwa chini yako ni sababu umemzidi akili vivyohivyo kwa binadamu considering binadamu naye ni mnyama tu.
kuna movie inaitwa joker ni movie nzuri inayoonyesha watu wema wanavyogeuka wabaya kutokana na jamii mbovu kama yako.

kuna mengi ila kiufupi wewe ni mpole au una mwonekano wa kipole na hujiamini bila shaka hivyo watu wanatake advantage.
sababu wanajua you can't fight back.

mimi sio psychologist ila nina experience hivyo najua ninachokiandika.
 
Dogo Avatar Utoto pia unakusumbua... Deal with your own life..tafuta pesa uone kama hujasifiwa.. utasikia yule mkaka handsome ana masikio flani hivi amazing...
 
Pole sana ndugu.

Mimi pia nimepitia changamoto kama yako.Naambiwaga nina uume mkubwa kama wa punda
 
Dogo vipi aisee, hebu tulia hizo ni mambo ndogo sana na ujue walimwengu hawaishi yao. Hata ukifanya surgery kesho na kesho kutwa utataniwa kuhusu lingine.
Hebu take easy aisee maisha yana mengi zaidi ya hayo.
 
Mdogoangu Kwanza jikubali kwamba hakuna kama wewe popote pale kubali muonekano wako,jifunze kupuuza maneno unayosikia,halafu pia unapokuwa haupo shule tafuta kofia(kepu) zile pendelea kuvaa,mwisho kazana na masomo ukipata pesa hayo yote yanabaki historia
 
Wazazi wako hali zao kiuchumi zipoje ? Wewe ni mtoto wa mwisho kuzaliwa, ama unamdogo wako ?. Wakati ukijibu maswali hayo zingatia pia ndugu zako ni vigumu kukulea au kukuchukua kama mtoto wao, huwenda wewe unaona hizo gharama ni ndogo kwa adha uipatayo lakini kimsingi hizo gharama(za upasuaji - Nairobi) zikawa kwao ni jambo lisilo wezekana.
 
Pole sana mi watu walikua wananambia nimelegea kama mwanamke mara nina damu imelela simply nilikua nacheka tu ,sasa weee ishi maisha yako jaribu kuwa na low cycle hakuna aleikamilikaa,ukijiua unamkosoa muumba wako,na pia embu acha usenge .mamayo haujuia hii miili yetu ni ya muda tu inaenda ishia ktk udongo hata uwe mzuri kiasi gani so tafuta elaaa
 
Una mawazo ya mgando sana mkuu...Mgoogle jamaa anaitwa Seal "Kipande Kimeshake" lakini anachukua warembo "wakare" sana ,itoshe kusema tafuta pesa.
 
Hizo hasira usizipeleke kwenye mawazo ya kujiua peleka kwenye mawazo ya kutafuta pesa kwanza mfano mdogo si unaona diamond sahiv hata wenye midomo midogo wanaiga kuwa na midomo mikubwa ili wafanane nae
 
Atatafutaje hela mkuu wakati ni mwanafunzi na ni mtoto?
Mkuu labda sababu point yangu ilikuwa fupi sana, nilikuwa na maana in the future afanye kazi vya kutosha apate hela.... Na hata ukiangalia point ya hela imekuwa mwishoni na ni fupi. Asante mkuu.
 
Kwanza ujijue uko tofauti,ambayo ujue ni kawaida kuwa tofauti,kila mmoja anatofauti yake,zingine zinaonekana kama yako,zingine hazionekani kama wenye uume mkubwa kupita kawaida au mdogo kama nukta. Ukiyajua hayo enjoy your life,ishi kama hawapo watu,tafuta fursa kwa kuwa nirahisi kwako kuwa maarufu utafanikiwa. Jipe jina la utani kabisa "masikio".
 
Sio huyo tu mkuu hata beyonce nae ana alishwahi kusema kipindi anasoma watu walimtania sana na kumcheka kuhusu muonekano wake wa masikio.

Tutoke huko tuje hapa bongo "harmorapa" angalia jinsi watu walivyokua wanamshambulia, kumcheka, kumtukana wengine kumfananisha na nyani na watu wakacheka na kufurahi. Mbaya zaidi ni Tanzania nzima sio mtaa mmoja tu. Mkuu simamia unachokiamini ziba masikio usiskie maneno yao ukiwa mnyonge zaidi na wao wanapiga hapo hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…