Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
hilo tukio la kwanza mimi naona ni kawaida ningepotezea.
hilo la pili huyo msichana ningemzibua kofi ambalo bila shaka asingesimama kabla ya dk5 na hako kajamaa kake kakileta ubabe tungemalizana kiume kufa kupona either unipige au nikunipige mpaka nihakikishe wewe sio threat kwangu tena.
niwe clear sitaki utani kabisa juu ya chochote kinachonihusisha mimi yaani huwezi kunijugde vibaya alafu ubaki salama nakuangalia tu au nicheke hapana tunamalizana sababu wewe ndio umechokoza vita.
kiuhalisia ningekuwa wewe huyo msichana asingeweza kuniangalia usoni hata mara mbili hata kama masikio yangu yangekuwa kama dishi la azam au dstv.
hilo namba tatu ningewafata hao jamaa then ningewauliza warudie walichokisema huku nipo serious na sura ambayo hata bundi angeacha kukuangalia kwa uoga.
alafu ningescan chochote kutoka kwenye miili kama ni mikono au pua kubwa then ningewarudishia disstrack ambayo wasingeamini alafu kama tungemalizana kwa maneno au vinginevyo trust me wasingerudia tena hiyo tabia mbovu.
kuhusu hilo la mwalimu huyo mwalimu ningejipanga kwenye somo lake then ningemtafutia siku nimdharirishe kwenye somo lake mwenyewe then heshima ingekuwepo au anichukie.
mimi ni 17 mwembamba kiasi ila ni 6feet pia mpole kama hunijui ila ukinijaribu utafurahi hakuna mtu anayejaribu kunichezea au kunitania to be honest watu wazima wengi ninapoishi wananiheshimu au wengine kunichukia na kuniogopa, vyote hivyo sio coincidence bali ni life style niliyoipanga mwenyewe kwa kujua kucheza na akili za watu na kuwazidi akili.
sababu kabla nilikuwa kama wewe kiufupi ni kuweza kujiamini na kupandikiza fear kwenye akili zao badala ya wao kupandikiza fear kwako then unabaki na hiyo aura. pia kujua tabia za watu na akili zao na kujua weaknesses zao na kujua anachokifikiria mtu hivyo unajua unaplay nae vipi, kuna mengi ya kujua kuhusu binadamu then hatokupa shida ni kama mbwa tu au mnyama mwengine yoyote wa porini.
mbwa anaweza kuwa chini yako ni sababu umemzidi akili vivyohivyo kwa binadamu considering binadamu naye ni mnyama tu.
kuna movie inaitwa joker ni movie nzuri inayoonyesha watu wema wanavyogeuka wabaya kutokana na jamii mbovu kama yako.
kuna mengi ila kiufupi wewe ni mpole au una mwonekano wa kipole na hujiamini bila shaka hivyo watu wanatake advantage.
sababu wanajua you can't fight back.
mimi sio psychologist ila nina experience hivyo najua ninachokiandika.
hilo la pili huyo msichana ningemzibua kofi ambalo bila shaka asingesimama kabla ya dk5 na hako kajamaa kake kakileta ubabe tungemalizana kiume kufa kupona either unipige au nikunipige mpaka nihakikishe wewe sio threat kwangu tena.
niwe clear sitaki utani kabisa juu ya chochote kinachonihusisha mimi yaani huwezi kunijugde vibaya alafu ubaki salama nakuangalia tu au nicheke hapana tunamalizana sababu wewe ndio umechokoza vita.
kiuhalisia ningekuwa wewe huyo msichana asingeweza kuniangalia usoni hata mara mbili hata kama masikio yangu yangekuwa kama dishi la azam au dstv.
hilo namba tatu ningewafata hao jamaa then ningewauliza warudie walichokisema huku nipo serious na sura ambayo hata bundi angeacha kukuangalia kwa uoga.
alafu ningescan chochote kutoka kwenye miili kama ni mikono au pua kubwa then ningewarudishia disstrack ambayo wasingeamini alafu kama tungemalizana kwa maneno au vinginevyo trust me wasingerudia tena hiyo tabia mbovu.
kuhusu hilo la mwalimu huyo mwalimu ningejipanga kwenye somo lake then ningemtafutia siku nimdharirishe kwenye somo lake mwenyewe then heshima ingekuwepo au anichukie.
mimi ni 17 mwembamba kiasi ila ni 6feet pia mpole kama hunijui ila ukinijaribu utafurahi hakuna mtu anayejaribu kunichezea au kunitania to be honest watu wazima wengi ninapoishi wananiheshimu au wengine kunichukia na kuniogopa, vyote hivyo sio coincidence bali ni life style niliyoipanga mwenyewe kwa kujua kucheza na akili za watu na kuwazidi akili.
sababu kabla nilikuwa kama wewe kiufupi ni kuweza kujiamini na kupandikiza fear kwenye akili zao badala ya wao kupandikiza fear kwako then unabaki na hiyo aura. pia kujua tabia za watu na akili zao na kujua weaknesses zao na kujua anachokifikiria mtu hivyo unajua unaplay nae vipi, kuna mengi ya kujua kuhusu binadamu then hatokupa shida ni kama mbwa tu au mnyama mwengine yoyote wa porini.
mbwa anaweza kuwa chini yako ni sababu umemzidi akili vivyohivyo kwa binadamu considering binadamu naye ni mnyama tu.
kuna movie inaitwa joker ni movie nzuri inayoonyesha watu wema wanavyogeuka wabaya kutokana na jamii mbovu kama yako.
kuna mengi ila kiufupi wewe ni mpole au una mwonekano wa kipole na hujiamini bila shaka hivyo watu wanatake advantage.
sababu wanajua you can't fight back.
mimi sio psychologist ila nina experience hivyo najua ninachokiandika.