Depression inaniathiri, nakaribia kujiua

Wewe komaa mtu akitalk shit na wewe mpe shit... Jifunze kukomaa kiume mtoto wa kike ndio analialia hovyo kwa sababu ya muonekano wake... Mtoto wa kiume asifiwi uzuri, mtoto wa kiume anasifiwa kuwa na roho ya Simba.. roho ya kiume. Yaani ngadu kwa ngadu *****.

Ukilemaa ukaweka lonyalonya utajiua kweli ila ukisimika na ukaacha kujali haitakusumbua.
 
Asante mkuu [emoji120][emoji120]
 
Nashukuru sana mkuu
 
Watu wenye depression wakati mwingine hawapendi kuwaonesha watu huzuni yao, anaweza kucheka na wewe vizuri akiingia ndani peke yake anaanza kulia
Ndio uhalisia mkuu
 
Nashukuru mkuu
 
Ubarikiwe mkuu [emoji120][emoji120]
 
Nashukuru sana mkuu
 
Kuna kiumbe asiyesemwa chini ya jua,jikubali na ujione wewe ni bora,yaani kusemwa unaweka mambo moyoni kuna watu wanatamani hata hayo masikio ili wasikie vizuri.
 
Ila hili tatizo la depression naona linaongezeka kwa watu wengi hapa bongo. Hivi uku kwetu hamna ma specialist wa haya matatzo. Wale watoa ushauri
 
Sasa Rafiki; watu wanakushauri na kukutia Moyo kwamba kuna wabaya zaidi yako na Picha wametuma umeona; bado unalalamika! Haya ukijiua huko unakokwenda ndiyo kubaya zaidi! Maana Muumba atakusubiri na kukuadhibu kwa kuutoa uhai wako/wake! Sasa kama ulivyoshauriwa, Tafuta pesa hakuna anaemdharau Mwenye pesa. Hata shetani ana masikio kama punda na kichwa Kama paka lakini kuna watu wanampenda kwa kuwa anawapa Hela! Unaona bana, pia mtafute Muumba akupe nguvu za kuhubiri na miujiza watu watakuwa wanasema huyu ni malaika siyo wa kawaida kwa miujiza utakayokuwa unafanya. Kwa maana hiyo duniani utapeta na mbinguni utakula nyamachoma na soda vile2.
 
Pole sana kijana, lakini kumbuka sote tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu, unachotakiwa kufanya ni kuwa mpuuzi kwa baadhi ya maneno au kejeli za watu pia fanya mambo ambayo unajua yanakupa furaha pia unatakiwa kujiamini tu mbele za watu kwasababu sisi sote tunakasoro mbalimbali, Mungu akusaidie upate kujiamni pia washirikishe viongozi wa dini na watu wa saikolojia nazani watakupa msaada zaidi🙏🙏🙏
 
Muhimu Ni kujikubali wewe Kama ulivyo na utapata tu wa kufanana nae na atakupenda hivyo hivyo. Achana na masuala ya surgery kwa kitu ambacho hakiwezi kukuua.

Kwanza Jikubali hivyo hivyo... na ujue 2pac alipigwa risasi mguu mmoja ukawa mfupi akaambiwa akafanyiwe oparesheni akakataa... Akajikubali, Akaanza kutembea kwa kuchechemea Kama anadunda hivi baada ya hapo Dunia ikapenda zile swagger Basi wote wakaanza kudunda wakijua Ni fasheni kumbe muhuni kajikubali tu na maisha yakaendelea na akavumbua kutembea kwa kudunda Duniani.

Jikubali Mwanaume! [emoji41]
 
Ukiniona hata Mimi nna Bonge la tege Kama banio la ugali vile... Lakini nakomaa kuwaaminisha watu tege langu Ni zuri na Ni fashion Sasa hivi watu wanajitegesha na wao Kama Mimi. [emoji41][emoji16]
 
Ukiniona hata Mimi nna Bonge la tege Kama banio la ugali vile... Lakini nakomaa kuwaaminisha watu tege langu Ni zuri na Ni fashion Sasa hivi watu wanajitegesha na wao Kama Mimi. [emoji41][emoji16]
Nashukuru sana mkuu
 
Usipo badilika na kubadili huo mtazamo utakuja haribu maisha yako yote. Kwanza hapo yameshaharibika
 
Nitajitahidi mkuu
Jitahidi bora yako hata wewe unasemwa kimya kimya kuna watu wamezaliwa na visanga, kuna siku dsm kkoo niliwahi shuhudia jamaa mrefu futi kama 7.5 anamzidi hadi hashem thabeet . Watu wamemjalia wanampiga picha wengine wanashangaa wanapiga kelele wengine wanacheka lakini jamaa aikuwa anajiamini.

Yule jamaa hata dalala hawezi kupanda, hata kitanda cha kawaida hawezi kulala maana miguu yote itaishia njee.

Kuna watu wamezaliwa wafupi sana kama yule dada anaeigiza huba hata futi 2 hafiki lakini events zote matamasha yote hata yakiserikali huwa anahudhuria maana ameshajikubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…