Depression inaniathiri, nakaribia kujiua

Pole bwana mdogo ,Dunia inachangamoto nyingi.

Jitahidi uyashinde mapito hayo ,focus kwenye masomo tu usigeuke nyuma .
Kwa uandishi wako na kupanga visa ,unaonekana akili kubwa .
Kila lakheri Mungu akusaidie
 
Kama nimekusoma kuwa hali ya kukutana na comment za hovyo juu ya masikio yako umeshazoea. Sasa hiyo depression inatoka wapi? Everything begins with you...yes, it begins with u😡! Hutaki kujikubali ww mwenyewe jinsi ulivyo...sasa unategemea nani akukubali? Kila binadamu ni unique...ingawa uniqueness muda mwingine Muumba huipeleka another level 😜! Ni jukumu lako muumbwaji kupokea uumbwaji wako na kuukubali na hata kuutumia kwa faida yako mwenyewe 😜! Sehemu moja wapo ambayo inaweza kukulipa ni ucheza filamu nk! Sakamya hela tu hao mabinti watakuja kukugombania tu hapo baadae! Acha kulialia hao hawakukuumba ww! Aliyekuumba hivyo ilimpendeza hivyo kwa kusudi maalumu ktk dunia hii🤔! Unachotakiwa kufanya kwa sasa ni kujijua ww ni mtu maalum kwa kazi maalum mfyuuuuu 😡!
 
Muonekano wa nn dogo? Lilia vitu vya msingi Soma kwa bidii ufute ujinga, fanya kazi kwa bidii upate kipato halali ili ukwepe umasikini na upate tiba bora ili utibu maradhi ya kibinadamu
Kumbuka maadui wakubwa wa binadamu Ni
1 ujinga
2 maradhi
3 umasikini
 
Shukrani mkuu
 
Pole bwana mdogo ,Dunia inachangamoto nyingi.

Jitahidi uyashinde mapito hayo ,focus kwenye masomo tu usigeuke nyuma .
Kwa uandishi wako na kupanga visa ,unaonekana akili kubwa .
Kila lakheri Mungu akusaidie
Shukrani mkuu [emoji120][emoji120]
 
Mkuu nimeshazoea ila kuna mambo yanadhalilisha sana
 
Inasikitisha sana watu wanapomdhiahaki mtu kwa alivyoumbwa utadhani kuna mtu anajiumba na kujichagulia aweje.

Aslimia kubwa wanaoweza kukucheka ni akili ndogo na wendawazimu.
Amini nakuambia kuna sehemu Mungu kakuumba ukiwa the best kuliko wengine. Boresha zaidi hapo uonapo uko vizuri.
 
Mkuu nimeshazoea ila kuna mambo yanadhalilisha sana
Achana nao, hao wote ni wapuuzi kama walivyowapuuzi wengine! Dawa yao ni kuwapuuza! Ww hukujiumba kama wao wasivyojiumba😡!
 
Hata Usher Raymond
 
Yaaan wewe[emoji16][emoji16][emoji849]

Kama sio comedian sijui

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
We dogo utoto unakusumbua sana....viungo vyote unavyo ila unataka kujinyonga kwa sababu ya masikio kuwa makubwa?![emoji849]

Humu duniani kuna changamoto ni usipime, hiyo ya masikio mbona kitu kidogo, fungia raia tinted soma, tafuta pesa!...mpaka unakuwa mkaka huko umewin life, michuchu shobo kama lote!

Ila narudia ..

Tafuta pesa, na uhakikishe umeipata!

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mkamilifu wote tunamapungufu ingawa tunazidiana ,,ikubal hiyo changamoto,,wapuuzie wote wanaokudis,,,Mungu ana makusudi nawe,,,kuna ambao hawana macho ,masikio ,vilema viwete,,unawachukuliaje kwa upande wako ,,huoni bado Mungu kakupendelea hayo masikio kuzidi centremeter kadhaaa ndo unakuwa hivo,,badilika ndg,hiyo ni changamoto ndogo sana ,,jikubal na wapuuzie hao wapuuz ,maisha yaendelee,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…