Eti nawewe umetoa post yako umetongozwa eh dunia simama nishuke kwa sura gani?? UlionayoUkimaliza kulia ,useme kama utajisikia. Acha tufanye mengine.
Otherwise lia huku unaongea, muda mchache mambo mengi
Ahahahah. Ni maisha tu mdogo angu.Eti nawewe umetoa post yako umetongozwa eh dunia simama nishuke kwa sura gani?? Ulionayo
Napenda sana kukutesa tu mambooAhahahah. Ni maisha tu mdogo angu.
Pole kwa unayopitia, yatakwisha ila Achana na hizo stress za reja reja kushambulia watu usiowajua, utafika mbali
Ahahaha mateso kaumbiwa mwanaume dunia hii..Napenda sana kukutesa tu
Ahahaha matesho kaumbiwa mwanaume dunia hii..Napenda sana kukutesa tu
Kama hukumbuki basi mimi nakukumbusha sasa,Sikumbuki kuvunjiana heshima popote na ww.
Tafadhali naomba tuheshimiane.
Wapi weweAhahaha matesho kaumbiwa mwanaume dunia hii..
Mambo ni gudi gudi
Pole mpenz…najua umeibiwa na si depression zote ni sababu mapenz…mambo mengiPole dear
Mim sijaachwa.
nimetulia zangu Usariver toka janaWapi wewe
😂😂😂 why mjuba??Kuna mjuba katuwakilisha vema huko.