Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baby wangu shida nini tenaSasa siwezi hata ongea nikisema neno nalia.
Kinakusumbua ni uchumi au mapenzi? Pole lakini?Sasa siwezi hata ongea nikisema neno nalia.
Ww ndio ulianza Ice.Kama hukumbuki basi mimi nakukumbusha sasa,
Soma comment yako # 77 jinsi ulivyonivunjia heshima,tena umequote comment yangu ambayo nilikua najadili jambo na mtu mwingine kabisa ukadandia na kashfa zako kwangu ulifikiri ningekuchekea?
Pole sana aisee.!! Km umesaidika ni vizuri.
Endelea tu kujitoa ufahamu na kutafuta huruma,Ww ndio ulianza Ice.
Nimecheka sana.. dooh. Hii mkui bila shaka na wewe umekua mdau hapo kabla 😂Ndio ile tunasema "umeme umekatika kwetu au kote"? Akichungulia dirishani akaona giza kote anasema "afadhali"!
Bora ingekua uchumi au mapenzi
Sio jambo zuri kuoa watoto mkuu anaogopa Mtihani ila madushe haogop?Nini sasa au mitihani ya UE? Maana mke wangu alikuwa anaogopa mitihani kuliko HIV aisee.
Pilau la Elon Musk limekua ngumu kumezeka bora aje kwangu alfaru Mwinyigumba ale Kwa amani ugali dagaaa😂😂😂 why mjuba??
Nyie majibu yenu ndo mnafanyaga watu wanajiua.!!
Bora umerudi chaliang kulipoa sana😂😂😂 why mjuba??
Nyie majibu yenu ndo mnafanyaga watu wanajiua.!!
Akirudi na moto ule ule hawatamkawiza kumla ban nyingine maana hekaheka zake huwa si za kitoto. Ni jeshi la mtu mmoja 😁Bora umerudi chaliang kulipoa sana