Basi waooh π€Mungu shahidi
Hamna sema Ile unakua kama unakosa uhondo mwingi maisha ya kuja kama mgeni unasoma tu hata hayanogi labda uwe na dera lingineKwani wasiowahi kupewa ban km Manyanza wana tuzo πππ
Shida ni hii mtu unaona umempatia mtu kumbe anakulia timing anakutumia anakupa hela unaagiza mizigo anakuja kwa mtindo wa wizi anakuibia kila kitu halafu anakuita anakupa pole na anasepa au anakupa kapesa kadogo unaanza kila siku upyaNimempa tayariβ¦akaze la sivyo ataondoka mapemaβ¦.hakuna anaekujali duniani kila mtu yupo busy na mambo yake
Ulikula ban wewe, Coca, cutewife, Genta, Sports lady na wote mnaochangamsha jukwaa, kulipoa sana kiukweli, hahahahaπππ kumbe huwa mnanimiss
Ticha hadi wewe hakuna anaekujali..?Nimempa tayariβ¦akaze la sivyo ataondoka mapemaβ¦.hakuna anaekujali duniani kila mtu yupo busy na mambo yake
Nuzu na mshamba_hachekwi mna kitu wadogo zangu, mtafika mbaliMimi nikiwa na stress huwa natembelea hospital nikitoka hapo natoka na nguvu mpya kabisa maana nakutana na mtu ana umwa wa leo na kesho ila ana tabasamu najikuta ni mjinga narudi kupambana tena.
Lia Lia jufungie ndan Lia,utapata ahuen nakuelewa pole sanaSasa siwezi hata ongea nikisema neno nalia.
bora ulie, endelea kulia usije ukafa kweli.Sasa siwezi hata ongea nikisema neno nalia.
Nicheki dm tatizo dogotu hiloSasa siwezi hata ongea nikisema neno nalia.
Doooh! poleni...wanawake mnapitia mengi sana toka kwa fake sweeters!Shida ni hii mtu unaona umempatia mtu kumbe anakulia timing anakutumia anakupa hela unaagiza mizigo anakuja kwa mtindo wa wizi anakuibia kila kitu halafu anakuita anakupa pole na anasepa au anakupa kapesa kadogo unaanza kila siku upya
Bado unalia weweSasa siwezi hata ongea nikisema neno nalia.