Matatizo hayatatuliwi kwa njia ya kilio mkuuAmeshasema hawezi kuongea anachoweza ni kulia tu.
Naomba nitulie Mtumishi, Nina mengi ya kumuambia, I've been there, done that, I know how it feels..!!Toa msaada mtumishi, fanyika baraka Kwa kutoa neno liponye nafsi ya mwenzetu.
Sio vyote hua ni vya mpito,Pole, ni hali ya mpito tu na haitabaki milele ipo siku utakuwa sawa
Matatizo hayatatuliwi kwa njia ya kilio mkuu
Kumbuka anapitia kipindi kigumu, anahitaji kupewa moyo na ushauri mzuri ili aweze kurejesha hali ya kujiamini.Sio vyote hua ni vya mpito,
Anaweza kupigika na mengine juu yake mpaka akayatamani Makaburi,
Hii Dunia ukijiendekeza unaweza kufa huku unajiona.
Something happened na unakijua, instead of kukaa kimya speak up vitoke moyoni, wapo watu watakusikiliza na kukupa ushauriDepression inaniua taratibu, sasa siwez hata ongea nikisema neno nalia.
Huwezi kumshauri/kumpa moyo mtu ambae hataki kuelezea tatizo lake.Kumbuka anapitia kipindi kigumu, anahitaji kupewa moyo na ushauri mzuri ili aweze kurejesha hali ya kujiamini.
Mimi nikiwa na stress huwa natembelea hospital nikitoka hapo natoka na nguvu mpya kabisa maana nakutana na mtu ana umwa wa leo na kesho ila ana tabasamu najikuta ni mjinga narudi kupambana tena.Nashukuru Kwa kuniongezea madini. Ni kweli lakini nilikua nanukuu alichoandika muhusika, sikua na maana ya kufurahia changamoto zake.
Lakini pia ikumbukwe kulia ni Moja ya dawa.
Kusema tatizo ni depression inatosha, kama kuna lingine basi yeye ndyo mwenye maamuzi aseme ama la.Huwezi kumshauri/kumpa moyo mtu ambae hataki kuelezea tatizo lake.
Bora wewe hua unatembelea hospital atleast huko utakuta kuna watu bado wana matumaini ya uhai,Mimi nikiwa na stress huwa natembelea hospital nikitoka hapo natoka na nguvu mpya kabisa maana nakutana na mtu ana umwa wa leo na kesho ila ana tabasamu najikuta ni mjinga narudi kupambana tena.
Kama yeye ndiye mwenye maamuzi ya kusema ama la basi afanye na maamuzi yake yakuimaliza hiyo depression yake,tusichoshane bure hapa.Kusema tatizo ni depression inatosha, kama kuna lingine basi yeye ndyo mwenye maamuzi aseme ama la.
Mmh 😁😁Bora wewe hua unatembelea hospital atleast huko utakuta kuna watu bado wana matumaini ya uhai,
Mimi hua natembelea Makaburi.