Depression inaniua

Depression inaniua

Wewe utakua mpumbavu sio bure,
Huwezi kutoa ushauri

Wewe sema unajipendekeza kwa mleta mada huna lolote,ulivyotumia wewe lugha ya matusi kwangu ulifikiri ningekuacha sio?

Acha kujipendekeza,unaweza kukuta mleta mada wala hana hata hiyo Depression ila anatafuta attention tu,cheap papularity,

Huwezi kua na tatizo kisha ukataka msaada huku ukiwa hutaki kutaja tatizo lenyewe,
Hebu muulize mleta mada hili swali,

Lengo la yeye kuweka huu uzi ni nini hasa?
Sidhani kama kuna haja ya malumbano katika jambo ambalo muhusika ndiye analifahamu vyema, ushauri wangu ni akaze tu maana depression ni janga kubwa kwa maisha yetu ya sasa hasa vijana. Naamini ipo siku atakuwa sawa.
 
Kwanini afanye hivyo mkuu?
Mitandao na tv ni chanzo kikuu Cha depression
Ni huleta sonona
Ukiwa nayo mbali mwili hutengeneza usingizi mzuri na pumziko
Ukiwa nayo karibu itakuzuia kulala au hata kutoka nje upate fresh air hali ambayo huongezea msongo
Fake life and smiles zitakufanya ujione unlucky
Bullies ndio kabisa
 
Wewe sema unajipendekeza kwa mleta mada huna lolote,ulivyotumia wewe lugha ya matusi kwangu ulifikiri ningekuacha sio?

Acha kujipendekeza,unaweza kukuta mleta mada wala hana hata hiyo Depression ila anatafuta attention tu,cheap papularity,

Huwezi kua na tatizo kisha ukataka msaada huku ukiwa hutaki kutaja tatizo lenyewe,
Hebu muulize mleta mada hili swali,

Lengo la yeye kuweka huu uzi ni lipi hasa?
Balehe utoke nyumbani ujue maisha ni nin.
 
Back
Top Bottom