Funguka, unaweza pata way out humu humu!Depression inaniua taratibu, sasa siwez hata ongea nikisema neno nalia.
Sema tatizo ni nini hasa!Depression inaniua taratibu, sasa siwez hata ongea nikisema neno nalia.
Wewe utakua mpumbavu sio bure,
Huwezi kutoa ushauri
Sidhani kama kuna haja ya malumbano katika jambo ambalo muhusika ndiye analifahamu vyema, ushauri wangu ni akaze tu maana depression ni janga kubwa kwa maisha yetu ya sasa hasa vijana. Naamini ipo siku atakuwa sawa.Wewe sema unajipendekeza kwa mleta mada huna lolote,ulivyotumia wewe lugha ya matusi kwangu ulifikiri ningekuacha sio?
Acha kujipendekeza,unaweza kukuta mleta mada wala hana hata hiyo Depression ila anatafuta attention tu,cheap papularity,
Huwezi kua na tatizo kisha ukataka msaada huku ukiwa hutaki kutaja tatizo lenyewe,
Hebu muulize mleta mada hili swali,
Lengo la yeye kuweka huu uzi ni nini hasa?
Nimekupenda pia yaan,,usijali nakuahidi ntafanya hivyo just for you mumyUtakua umenisaidia sanaa
Kwanini afanye hivyo mkuu?Kama una insta ,TikTok, Facebook, Snapchat n.k futa haraka
Ila kama una Twitter (x) tupa sim hadi utakapokuwa sawa
Hili swali umeliweka kimkakati sanaNani anakuliza kipenzi.
Atakuwa mtu wa Iringa huyuSamahani mkuu, tuna huzuni sababu ya Lovie, ila tafadhali ni mpaka*..!!
Ukiona bahari ni shwari na hakuna mawimbi ni wakati sahihi wa kushusha nyavu mkuu.Hili swali umeliweka kimkakati sana
Kumbee acha kesho niendee na mimi mbebezi ananizingua sana acha nikamsemee huko.!Hospitali za rufaa huwa zina idara ya saikolojia, nenda huko wanapokea bima kabisa
Wanasaikolojia wanasaidia, unafunguka tu hata ukiwaambia utumbo gani hawacheki hawashtuki
Mitandao na tv ni chanzo kikuu Cha depressionKwanini afanye hivyo mkuu?
Balehe utoke nyumbani ujue maisha ni nin.Wewe sema unajipendekeza kwa mleta mada huna lolote,ulivyotumia wewe lugha ya matusi kwangu ulifikiri ningekuacha sio?
Acha kujipendekeza,unaweza kukuta mleta mada wala hana hata hiyo Depression ila anatafuta attention tu,cheap papularity,
Huwezi kua na tatizo kisha ukataka msaada huku ukiwa hutaki kutaja tatizo lenyewe,
Hebu muulize mleta mada hili swali,
Lengo la yeye kuweka huu uzi ni lipi hasa?
Nguvu ipiMungu akutie nguvu.