Niamini Mimi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2023
- 270
- 412
Samahani mkuu,huyo dada ni pisi au?kama hutojali weka na picha yake ili nami nisaidiwe πππPole sana mkuu, tafuta mtaalam wa maswala ya afya ya akili kama hutojali mtafute huyu dada mueleze unayopitia nnaamini atakusaidia.
+255655394129
Mama mchungajiZaburi 34:18 BWANA yu karibu nao waliovunjika moyo, Na waliopondeka roho huwaokoa.
kubali yaishe fanya mambo mengineDepression inaniua taratibu, sasa siwez hata ongea nikisema neno nalia.
Aisee pole sanaKazini mama
Depression inaniua taratibu, sasa siwez hata ongea nikisema neno nalia.
Depression inaniua taratibu, sasa siwez hata ongea nikisema neno nalia.
Asante sana mummieβ€οΈkwanza kabisa Lovie lazima ujue kuwa hakuna gumu linalodumu kwa muda mrefu, hata liwe gumu kiasi gani, fahamu kuwa kiza kitapita na jua litawaka tena..!!
Yes, umeibiwa kazini, you gotta first thankful hata unacho cha kuibiwa, kuna watu hawana hata hiyo kazi Lovie, hawana hata hiyo Pesa ya kuibiwa, na bado hawakati tamaa, wanatabasamu, wana tumaini na wanaamini ipo siku itakuwa sawa...!
Jifunze kwanza kuwa na moyo wa shukrani hata kama hali ni ngumu kiasi gani, kinachotutesa siku zote siyo hali zetu hapana, tunateswa na 'attitude' zetu - namna tunayachukulia matatizo yetu, jambo likitokea kwenye maisha yako unalibebaje, unahisi umebeba dunia sivyo.!?? Hiyo itakuumiza sana..!!
Wameiba Pesa right..?? Hawajaiba uzima wala afya yako Lovie, hawajaiba mikono yako ya kupambana tena, kwanini unaruhusu waibe na amani yako..?? Waondoke na furaha yako..?? till date Pesa zimepotea ngapi..?? uliwahi kufa toka umeanza poteza Pesa..? Hell nuh'..!!
start from the scratch, kisha pambana tena, tena zaidi ya mwanzo, tukianguka kwenye tope tukachafuka, hatulali kwenye tope milele, tunanyanyuka tunakung'uta tope tunasonga mbele, wakati umekaa hapa unalia kwa kila kilichopotea, maisha hayasimami yakakungojea umalize kwanza kulia, hapana mamaa, watu wanaendelea mbele na maisha yao, hasara hapa inakuwa ni yako..!!
this Life is 100% You Vs. You, kuanzia sahii, badili kabisa namna unaichukulia kila situation inayopita kwenye maisha yako, Jifunze kuliona tatizo in a very Positive Version, Yes, hili limekuja na limetokea lakini najua limetokea ili nipambane zaidi, halijaja kukurudisha nyuma, Limekuja kukuongezea ujasiri, kuna wakati matatizo yanakuja ili kutuandaa na baraka kubwa zaidi ya pale tulipokuwepo,
wewe ni dhahabu, na dhahabu haiwezi ng'aa mpaka ipite kwenye moto mkali, Kukata TAMAA ni Mwiko Lovie, unakata tamaa..?? Umeichungulia kesho yako ukaiona inafananaje..?? Unakata tamaa kwani ni mwisho wa maisha yako..!!?? Usimpe shetani nafasi kwenye maisha yako kamwe..!!
Mungu akutie nguvu, akufariji, akupe tabasamu na aiponye nafsi yako, ALL IS WELL SWEETHEART..!!
The Monk
Umauti na uzima umo katika mdomo wetu, usitamke umauti hakuna haja ya kuulilia umauti maana mapito ni ya muda mfupi tuDepression inaniua taratibu, sasa siwez hata ongea nikisema neno nalia.
Dada ubarikiwe kila unachogusa kiwe chenye nuru umeandika maneno ambayo kila neno limejaa tumaini πkwanza kabisa Lovie lazima ujue kuwa hakuna gumu linalodumu kwa muda mrefu, hata liwe gumu kiasi gani, fahamu kuwa kiza kitapita na jua litawaka tena..!!
Yes, umeibiwa kazini, you gotta first thankful hata unacho cha kuibiwa, kuna watu hawana hata hiyo kazi Lovie, hawana hata hiyo Pesa ya kuibiwa, na bado hawakati tamaa, wanatabasamu, wana tumaini na wanaamini ipo siku itakuwa sawa...!
Jifunze kwanza kuwa na moyo wa shukrani hata kama hali ni ngumu kiasi gani, kinachotutesa siku zote siyo hali zetu hapana, tunateswa na 'attitude' zetu - namna tunayachukulia matatizo yetu, jambo likitokea kwenye maisha yako unalibebaje, unahisi umebeba dunia sivyo.!?? Hiyo itakuumiza sana..!!
Wameiba Pesa right..?? Hawajaiba uzima wala afya yako Lovie, hawajaiba mikono yako ya kupambana tena, kwanini unaruhusu waibe na amani yako..?? Waondoke na furaha yako..?? till date Pesa zimepotea ngapi..?? uliwahi kufa toka umeanza poteza Pesa..? Hell nuh'..!!
start from the scratch, kisha pambana tena, tena zaidi ya mwanzo, tukianguka kwenye tope tukachafuka, hatulali kwenye tope milele, tunanyanyuka tunakung'uta tope tunasonga mbele, wakati umekaa hapa unalia kwa kila kilichopotea, maisha hayasimami yakakungojea umalize kwanza kulia, hapana mamaa, watu wanaendelea mbele na maisha yao, hasara hapa inakuwa ni yako..!!
this Life is 100% You Vs. You, kuanzia sahii, badili kabisa namna unaichukulia kila situation inayopita kwenye maisha yako, Jifunze kuliona tatizo in a very Positive Version, Yes, hili limekuja na limetokea lakini najua limetokea ili nipambane zaidi, halijaja kukurudisha nyuma, Limekuja kukuongezea ujasiri, kuna wakati matatizo yanakuja ili kutuandaa na baraka kubwa zaidi ya pale tulipokuwepo,
wewe ni dhahabu, na dhahabu haiwezi ng'aa mpaka ipite kwenye moto mkali, Kukata TAMAA ni Mwiko Lovie, unakata tamaa..?? Umeichungulia kesho yako ukaiona inafananaje..?? Unakata tamaa kwani ni mwisho wa maisha yako..!!?? Usimpe shetani nafasi kwenye maisha yako kamwe..!!
Mungu akutie nguvu, akufariji, akupe tabasamu na aiponye nafsi yako, ALL IS WELL SWEETHEART..!!
The Monk
Ndugu usikate tamaa kuna watu wamebeba mizigo ya matatizo yaani si moja wala mawili huku mgonjwa huku maisha yanampiga.Sawa asante sana
Mashukuru Mungu kwa Maana yeye ndiye ajuae why amekupitisha kwenye mtihani huo na hakika atakupa furaha tena na tena .Kabisa mama
Hata wewe unaweza kumsaidia mkuu, haitajiki taaluma kumpa mtu neno la kumjaza matumaini, tena wenye taaluma ndiyo watamchanganya kabisa maana ataanza kutumia vitu vya kitaaluma zaidi na ndiyo kumchanganya kabisa,Pole sana waone wataalamu hata humu wapo utapata Muongozo
Empty your chest ni vyema ulie siku nzima its a way of healing painSasa siwez hata ongea nikisema neno nalia.
Namba ya mtu kuweka hapa hakuna shida mkuu? Au ndiyo kazi zake hizoPole sana mkuu, tafuta mtaalam wa maswala ya afya ya akili kama hutojali mtafute huyu dada mueleze unayopitia nnaamini atakusaidia.
+255655394129