Amen love.Mashukuru Mungu kwa Maana yeye ndiye ajuae why amekupitisha kwenye mtihani huo na hakika atakupa furaha tena na tena .
Pole sana, cha umuhimu hawajauchukua uhai wakoNimeibiwa mara ya pili.
Ni biashara ni maisha yangu.
Karibu, Mungu akakufanyiwe uwepesi, tambua mapito ni mtaji simama kung'uta mavumbi songa mbele, penda sana challenges katika maisha maana zinatukomaza,Sawa asante sana
Walaaniwe hao wezi 🙁Amen love.
Kuna store hua naweka vitu vyangu vya kazi.
Nikipata harusi au sherehe yoyote pesa nyingine nanunua vitu baadhi ambavyo sina.
Sasa dear nimekuta makufuli yameegeshwa na vitu vya muhimu vimebebwa.
😢😢
Mara ya kwanza 2021 nilifungua duka la nguo tena nikaibiwa nikaanza kurandaranda kazi.
Very powerful msg[emoji106]Mashukuru Mungu kwa Maana yeye ndiye ajuae why amekupitisha kwenye mtihani huo na hakika atakupa furaha tena na tena .
Pole sana Mungu atakupa zaidi ya hapo, ila tafakari kwanini limetokea kuna lazima kuwa na chanzoAmen love.
Kuna store hua naweka vitu vyangu vya kazi.
Nikipata harusi au sherehe yoyote pesa nyingine nanunua vitu baadhi ambavyo sina.
Sasa dear nimekuta makufuli yameegeshwa na vitu vya muhimu vimebebwa.
[emoji22][emoji22]
Mara ya kwanza 2021 nilifungua duka la nguo tena nikaibiwa nikaanza kurandaranda kazi.
Wabena, wakinga, wahehe hawawezi kutamka neno mpaka, wao husema MBAKA muulize kabla lakeSamahani mkuu, tuna huzuni sababu ya Lovie, ila tafadhali ni mpaka*..!!
Hiyo depression yako pambana nayo usitupigie kelele hapa,unafikiri ukubwa unapimwa kwa kua na depression? Kwahiyo wote wasiokua na depression hawajabalehe?Balehe utoke nyumbani ujue maisha ni nin.
Sawa asanteHiyo depression yako pambana nayo usitupigie kelele hapa,unafikiri ukubwa unapimwa kwa kua na depression? Kwahiyo wote wasiokua na depression hawajabalehe?
Unajisifia ujinga? Kua na depression ndio kipimo cha kua umebalehe? Pambana na matatizo yako au kama vipi nikupe namba ya muuza majeneza?
Ngoja ukutane na psychologist mwenye depression vile vileHospitali za rufaa huwa zina idara ya saikolojia, nenda huko wanapokea bima kabisa
Wanasaikolojia wanasaidia, unafunguka tu hata ukiwaambia utumbo gani hawacheki hawashtuki
Yeyooo 🤣🤣Mama mchungaji