Depression inaniua

Pole sana wewe ni mpambaji, mc, mpishi ama unafanya vyote?
 
Nimekuelewa, naomba unisamehe kwa kukaa upande mmoja.
 
Kasema kaibiwa haya ulio andika umeyatoa wapi mkuu?
 
Namba ya mtu kuweka hapa hakuna shida mkuu? Au ndiyo kazi zake hizo
Haina shida mkuu ndio kazi yake. Nmeweka ili na wengine wenye shida na uhitaji wa huduma hiyo wanufaike pia. Huyo ni daktari na anaipenda na kuifanya kazi yake vyema.
 
Ubarikiwe mpaka ushangae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…