Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto wa mama wewe ban hujazoea 😂😂😂Usiniandame nikachukia nikachafua hali ya hewa halafu ukanisababishia BAN. Wakati humu ndio kazini kwangu 😀😀😀
😂😂😂 kumekuchaUjue wewe Unique flower hata uje na id ya namna gani mwandiko wako nitaujua tu. Ni wewe.
😂😂😂😂 HatareeeUlikula ban wewe, Coca, cutewife, Genta, Sports lady na wote mnaochangamsha jukwaa, kulipoa sana kiukweli, hahahaha
Unitafute nikupe chaka la kupunga upepo ukipewa ban 😂😂😂😂Hamna sema Ile unakua kama unakosa uhondo mwingi maisha ya kuja kama mgeni unasoma tu hata hayanogi labda uwe na dera lingine
Naijua hyo, huko siji.... hii hii nguo yangu sitaki nyingine kuna link sitaki kuipotezaUnitafute nikupe chaka la kupunga upepo ukipewa ban 😂😂😂😂
Mchukue mtu wako huyo😂😂😂 kumekucha
Swahiba hi 👋
😂😂😂 Acha uoga kijanaNaijua hyo, huko siji.... hii hii nguo yangu sitaki nyingine kuna link sitaki kuipoteza
🤣🤣🤣 Huyo nilikukabidhi weweMchukue mtu wako huyo
Huyu mi najiepusha nae maana nitampasua kwa mizunguo yake alishaaga hapa kuwa anaenda kuleo ndoa, sasa sijui kaachwa kachukua id nyingine SweetyCandy🤣🤣🤣 Huyo nilikukabidhi wewe
Sasa si ndoa ya id nyingine 😂😂😂Huyu mi najiepusha nae maana nitampasua kwa mizunguo yake alishaaga hapa kuwa anaenda kuleo ndoa, sasa sijui kaachwa kachukua id nyingine SweetyCandy
Akubali tu kuwa game is over , no moreSasa si ndoa ya id nyingine 😂😂😂
Bado hii inatafuta ndoa
😂😂😂😂Akubali tu kuwa game is over , no more
We ni mmeru njoo hapo shangarai na ndoo za mawe nitag nije tamka mudaHuyu mi najiepusha nae maana nitampasua kwa mizunguo yake alishaaga hapa kuwa anaenda kuleo ndoa, sasa sijui kaachwa kachukua id nyingine SweetyCandy
Hayaa sawa ila soma mesg yakoUjue wewe Unique flower hata uje na id ya namna gani mwandiko wako nitaujua tu. Ni wewe.
Mara ya mwisho kupigwa miti ni lini?Sasa siwezi hata ongea nikisema neno nalia.
Walah siji, nyie watu wafupi wanene mna shida sana, maana ndio huwa nahis uko hivyo kwa muandiko wako tuWe ni mmeru njoo hapo shangarai na ndoo za mawe nitag nije tamka muda
kwanza kabisa Lovie lazima ujue kuwa hakuna gumu linalodumu kwa muda mrefu, hata liwe gumu kiasi gani, fahamu kuwa kiza kitapita na jua litawaka tena..!!
Yes, umeibiwa kazini, you gotta first thankful hata unacho cha kuibiwa, kuna watu hawana hata hiyo kazi Lovie, hawana hata hiyo Pesa ya kuibiwa, na bado hawakati tamaa, wanatabasamu, wana tumaini na wanaamini ipo siku itakuwa sawa...!
Jifunze kwanza kuwa na moyo wa shukrani hata kama hali ni ngumu kiasi gani, kinachotutesa siku zote siyo hali zetu hapana, tunateswa na 'attitude' zetu - namna tunayachukulia matatizo yetu, jambo likitokea kwenye maisha yako unalibebaje, unahisi umebeba dunia sivyo.!?? Hiyo itakuumiza sana..!!
Wameiba Pesa right..?? Hawajaiba uzima wala afya yako Lovie, hawajaiba mikono yako ya kupambana tena, kwanini unaruhusu waibe na amani yako..?? Waondoke na furaha yako..?? till date Pesa zimepotea ngapi..?? uliwahi kufa toka umeanza poteza Pesa..? Hell nuh'..!!
start from the scratch, kisha pambana tena, tena zaidi ya mwanzo, tukianguka kwenye tope tukachafuka, hatulali kwenye tope milele, tunanyanyuka tunakung'uta tope tunasonga mbele, wakati umekaa hapa unalia kwa kila kilichopotea, maisha hayasimami yakakungojea umalize kwanza kulia, hapana mamaa, watu wanaendelea mbele na maisha yao, hasara hapa inakuwa ni yako..!!
this Life is 100% You Vs. You, kuanzia sahii, badili kabisa namna unaichukulia kila situation inayopita kwenye maisha yako, Jifunze kuliona tatizo in a very Positive Version, Yes, hili limekuja na limetokea lakini najua limetokea ili nipambane zaidi, halijaja kukurudisha nyuma, Limekuja kukuongezea ujasiri, kuna wakati matatizo yanakuja ili kutuandaa na baraka kubwa zaidi ya pale tulipokuwepo,
wewe ni dhahabu, na dhahabu haiwezi ng'aa mpaka ipite kwenye moto mkali, Kukata TAMAA ni Mwiko Lovie, unakata tamaa..?? Umeichungulia kesho yako ukaiona inafananaje..?? Unakata tamaa kwani ni mwisho wa maisha yako..!!?? Usimpe shetani nafasi kwenye maisha yako kamwe..!!
Mungu akutie nguvu, akufariji, akupe tabasamu na aiponye nafsi yako, ALL IS WELL SWEETHEART..!!
The Monk