Yaani hapa nipo ndani, nilijaribu kutoka nikafika mpaka Kigamboni lakini sikuweza kukaa kule kabisa, nimerudi nipo ndani hapa tu.Ms eyes hamna namna tafuta jinsi ya ku-cope, jishughulishe sana ili usipate muda mwingi wa kukaa ovyo ovyo. Hata ukiwa idle jaribu ku-escape kupitia vitu kama movies, mziki n.k
Mimi nakumbuka nilivopunguza mda wa kukaa ovyo ovyo, depression ilipungua sana....
hauna hata shughuli za kiuchumi?? au mwenzangu na mie ugali wa shkamoo πYaani hapa nipo ndani, nilijaribu kutoka nikafika mpaka Kigamboni lakini sikuweza kukaa kule kabisa, nimerudi nipo ndani hapa tu.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Binadam analiwaje?
Dogo ushafagia uwanja? π π
Hapa sio poa, maana nina mishangazi yangu humu miwili, mjane mmoja, singo maza wawili na mwanachuo mmoja.Niambie hapaπ
Kweli kakaMake sure you stay with people around you, do not avoid people at this moment.
Onana na majembe, watakukusanyia hilo deni ndani ya muda mfupi.Na Mimi pia nipo kwenye list na hio depression inajengwa na wanaotuzunguka, mfano mtu unamdai alafu anakuzungusha alafu ukicheck usawa wako upo vibaya unafikiri what's next ? Yaan mtu ana Pesa yako alafu wewe upo vibaya yeye hela ameikalia tu hataki kukupa lazima upate depression
mkuu tafuta tu namna usikae idle muda uende fasta kwasababu hii hali ikiendelea unaweza kua suicidal....ππ, Kwa zama hizi?
Yes, Depression is not a desease, depression is a condition,depressio is a disorder.Afya ya akili ni muhimu sana, wahanga wa depression kwa sasa ni sisi Vijanaππ©
πππYaani hapa nipo ndani, nilijaribu kutoka nikafika mpaka Kigamboni lakini sikuweza kukaa kule kabisa, nimerudi nipo ndani hapa tu.
Na mimi nije?Chukua namba yangu uje tuongee shida ni nini kipenzi, nitajisikia vyema kuwa msaada karibu
violence πππππView attachment 2610939
AMEEN,,UMENIGUSA SANA TUNASTRUGGLE MPAKA KIELEWEKESome of us are building our life from the scratch, no inheritance, no connection, no back up... May God strengthen us all.
Usiwe na shaka mtoto, mimi ndio mdaka chozi...π na ukifika kwangu nina taruru la kuteketeza stress/msongo...πSasa hao ndio watazidi kunipa mawazo
I lov u 2....ππππ