Depression is real

Depression is real

Ms eyes hamna namna tafuta jinsi ya ku-cope, jishughulishe sana ili usipate muda mwingi wa kukaa ovyo ovyo. Hata ukiwa idle jaribu ku-escape kupitia vitu kama movies, mziki n.k
Mimi nakumbuka nilivopunguza mda wa kukaa ovyo ovyo, depression ilipungua sana....
Yaani hapa nipo ndani, nilijaribu kutoka nikafika mpaka Kigamboni lakini sikuweza kukaa kule kabisa, nimerudi nipo ndani hapa tu.
 
Hapa sio poa, maana nina mishangazi yangu humu miwili, mjane mmoja, singo maza wawili na mwanachuo mmoja.
Wanaweza wakaleta noma...😋
Sasa hao ndio watazidi kunipa mawazo
 
Na Mimi pia nipo kwenye list na hio depression inajengwa na wanaotuzunguka, mfano mtu unamdai alafu anakuzungusha alafu ukicheck usawa wako upo vibaya unafikiri what's next ? Yaan mtu ana Pesa yako alafu wewe upo vibaya yeye hela ameikalia tu hataki kukupa lazima upate depression
Onana na majembe, watakukusanyia hilo deni ndani ya muda mfupi.
 
Afya ya akili ni muhimu sana, wahanga wa depression kwa sasa ni sisi Vijana💔😩
Yes, Depression is not a desease, depression is a condition,depressio is a disorder.
Depression is the consequence of stagnation in life.
There is No medicine that can cure depression unless you start to accept things and move on.
Usithubutu kuanza kunywa hayo madawa ya "Antidepressants", utakunywa hadi siku unaenda kaburini.
Dawa pekee ni kukubaliana na hali halisi ya mambo unayokumbana nayo na kuendelea na maisha. Vijana wengi wanakuwa depressed sababu ya kushindwa kukubali hali.

Asante.
 
Yaani hapa nipo ndani, nilijaribu kutoka nikafika mpaka Kigamboni lakini sikuweza kukaa kule kabisa, nimerudi nipo ndani hapa tu.
😃😃😃
27AC4BB3-E04E-43C2-8BC1-24EA834038CB.jpeg
 
Back
Top Bottom