Ni depression or stress?Afya ya akili ni muhimu sana, wahanga wa depression kwa sasa ni sisi Vijanaππ©
Marahaba, hujambo dogoviolence ππ
Kaa pembeni na mapenzi yatakutesa oohAfya ya akili ni muhimu sana, wahanga wa depression kwa sasa ni sisi Vijanaππ©
hii ni JF bwana, wote humu watu wazima so relax πMarahaba, hujambo dogo
Hata mwandiko unakukataahii ni JF bwana, wote humu watu wazima so relax π
kwani lazima uniite dogo?? mimi ni mtu mzima kisheria πHata mwandiko unakukataa
BADO HUJAPONAπDawa ya depression ni karafuu Tu Nilikuwa nimepigwa na upambavu kuna siku nilitaka kujiua akili ilikuwa Imechanganikiwa
mapigo ya moyo kwenda mbio
Dawa nilitumia karafuu kusaga na kutengeneza chai nikiwa na kunwa asubuhi na mchana baada ya siku kazaa hali ile ilipotea yenyewe mpaka sasa hivi nina miaka 3 sijawahi kuumwa ugonjwa huo wa saikolojia
NAKAZIA...Jikaze usiruhusu watu wajue una depression watakuongeza depression wengi wanafiki
Unajua kutoa ushauri ni kipaji wengine hatujajaliwa hiyo karama π€£π€£π€£Basi ngaja niendelee na mishe zangu aisee. Mpeni ushauri peke yenu π π π
Wana balaa aisee hahaaJf expected members ni wa kuwaogopa sana mkuu
Sina madeni, sisumbuliwi na mapenzi .. sina helaπ€Ni depression or stress?
Lipa madeni ya watu.
Kula ushibe.
Achana na toxic relationship.
Unaowadai wakulipe.
Being jobless is a job too. So isikupe shida sana π
Mpk hapo una stress nyingine?
Pole, Njoo PM nikushauri mdogo wanguAfya ya akili ni muhimu sana, wahanga wa depression kwa sasa ni sisi Vijanaππ©
Mimi siku hizi nimepunguza sana tena sana kukopeshaNimeshapoa mkuu depression is real watu wengine sijui wanahisi wenzao ni mabillionaire,
Tena wengi mno....asilimia kubwa ya waTz tuna shida ya afya ya akiliNa humu jf wamo wengi,
Sio wakike,sio wakiume
Hasa rika la 20-30
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Njoo na Gharama za matibabuNa mimi nije?
Umejuaje kama una depression?Afya ya akili ni muhimu sana, wahanga wa depression kwa sasa ni sisi Vijana[emoji174][emoji30]