Depression Itaniua

pole mkuu, Ni wengi wanapitia hayo,
hila Kuna siku utayasahau yote hayo, hiyo Ni mitihani tu wala usikate tamaa mkuu, hila Kama unaona ukiuza nyumba na ukalipa deni la bank na wewe utabakia na hela ya kueleweka isiyopungua hata milion 30 au 40,
Mi naona sio mbaya ili uangalie biashara yakufanya isiyo na risk sana. Hila usikate tamaa Ni mitihani tu hiyo tumeumbiwa binadamu
 
ASIUZEE NYUMBAAAA.. yani hilo wazo alifute kabisaaa bora kupambana kupata hela ya kulaaa sio ainginee kwenye masuala ya kodi tenaaa... kusema auze nyumba ili afanye biashara ambayo hana uhakika itamlipa vipi duuh bado ni ngumu
 
hivi unajua ni bora asingekuwa na mke????
 
 
Acha kumdanganya mwenzako, mkopo unakua na bima kuweza kufidia pale ukifariki au kupata ulemavu unaopelekea usiweze kufanya kazi.

Cha msingi aendelee kuwa na mahusiano mazuri na benki, hawawezi kuuza nyumba Kwa vile haikua sehem ya dhamana.
Una ufahamu kidogo na mambo ya mikopo?

Insurance ni kinga dhidi ya kufariki, kufukuzwa kazi, ulemavu nk. Sio kufariki tu.
 
Oya kataa kubali.

Kuna mpuuzi yuko nyuma ya maisha yako anakuroga
 
Kama ulichukua Mkopo Bank kwa Udhamini wa Mshahara wako iweje Bank waje wauze Nyumba yako??Dhamana yako wewe ni Ofisi ndio iliyokudhamini hivyo Bank hawawezi kuwa na Hati ya Nyumba yako
Na mikopo huwa ina bima huyu cjui hajui,mi niliwahi pita situation km yake, lakini kila wakipiga cm niliwaambia sihusiki wadeal na muajiri, hivyo hawakuwah kunisumbua tena napeta tu.
 
Poleni I feel what you go through
Uza nyumba then upange eneo cheap then Jitose kwa Biashara yenye mzunguko hope utatoboa vizuri.
 

Aisee ww jamaa noma mm nilishawah waza kujiua ila aisee mambo huwa yanatulia ish n subra tu na hakuna wakukusaidia hata mama mzaz utakufa peke ako kwenye shida
 
Changamoto sio kwako kaka sema tu wewe unahuzunika bure mkuu kwa sababu hujazoea hii hali, usije ukapanic kaka nakuambia tena wewe ni mgeni wa tatizo, uliishi vizuri, mshahara mzuri, nyumba nzuri, gari nzuri, kula na kuvaa pazuri, na sasa umerudi pabovu, hii hali hupata wengi hata mimi nishapitia hii hali, lakini tafuta fursa yoyote ya kupata kwanza mahitaji yako.

Alafu ukikaa kitaa utazoea tu ndio maana ya dunia kaka, kua uyaone kwani shida ni kipimo cha akili, unapitia kipindi cha kujifunza najua unajifunza sasa ulikosea wapi na kaa urekebishe, kama ni bahati mbaya pole na jipe moyo kupata vingine.

Nyumba si dhamana ya benki na dhamana yako ni mshahara kama walivyo eleza hapa una deadline ya muda kadhaa tafuta pesa kaka.
 
Huu ni zaidi ya ushauri.
Hata mimi umenisaidia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…