Derby imemalizika na Yanga ameshinda 1 bila dhidi ya Simba

Derby imemalizika na Yanga ameshinda 1 bila dhidi ya Simba

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Sisi wazee wa jadi mechi tushaitazama wengine mkiwa mnasubiri kutazama kesho na matokeo ndo hivo kama nilivoeleza hapo juu.

Goli la Yanga limefungwa dakika ya 71 na khalid Aucho kwa kichwa.

Mechi ilikuwa nzuri sana upinzani ulikuwa mkubwa lakini ndo hivyo Yanga ameshinda.

Mimi kama shabiki wa Simba hii mechi imeniacha na majonzi lakini ndo hivo mambo ya mpira sina budi kukubali matokeo.

Matokeo ndo hayo kwa wale wanaotarajia kutazama marudio hapo kesho tarehe 5/11/2023.

Hakuna haja ya kujisumbua
Matokeo nimewapeni tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi hautakamilika iwapo hautasema ufanywe nini ikiwa matokeo na muda uliotaja vikiwa tofauti
 
Pale mswahili anapokuwa kashiba mahindi yaliyochanganywa na maharage...
 
Hujamalizia kuangalia mechi, mi nimecheki hadi mwisho nikaona Yanga akishinda goli 3 Simba 0! Goli moja la Skudu!
 
Sisi wazee wa jadi mechi tushaitazama wengine mkiwa mnasubiri kutazama kesho na matokeo ndo hivo kama nilivoeleza hapo juu
Goli la Yanga limefungwa dakika ya 71 na khalid Aucho kwa kichwa
Mechi ilikuwa nzuri sana upinzani ulikuwa mkubwa lakini ndo ivo Yanga ameshinda
Mimi kama shabiki wa Simba hii mechi imeniacha na majonzi lakini ndo hivo mambo ya mpira sina budi kukubali matokea
Matokeo ndo hayo kwa wale wanaotarajia kutazama marudio hapo kesho tarehe 5/11/2023
Hakuna haja ya kujisumbua
Matokeo nimewapeni tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
Uto hujiamini mbona? inamaana na ubora wote mlokuwanao unatamani angalao upate japo kagoli kamoja? zile 5 na 3 hazipo tena?
 
Khalid Aucho na kufunga wapi na wapi! 🤔 Bora hata ungesema Dickson Job, au Bakary Mwamnyeto.
All in all, nawatakia Wananchi ushindi mnono hiyo kesho.
 
Hujamalizia kuangalia mechi, mi nimecheki hadi mwisho nikaona Yanga akishinda goli 3 Simba 0! Goli moja la Skudu!
Skudu hawezi kucheza mechi ya kiume kama ile, hata Gamond mwenyewe hawezi kurisk kumuanzisha.
 
Sisi wazee wa jadi mechi tushaitazama wengine mkiwa mnasubiri kutazama kesho na matokeo ndo hivo kama nilivoeleza hapo juu.

Goli la Yanga limefungwa dakika ya 71 na khalid Aucho kwa kichwa.

Mechi ilikuwa nzuri sana upinzani ulikuwa mkubwa lakini ndo hivyo Yanga ameshinda.

Mimi kama shabiki wa Simba hii mechi imeniacha na majonzi lakini ndo hivo mambo ya mpira sina budi kukubali matokeo.

Matokeo ndo hayo kwa wale wanaotarajia kutazama marudio hapo kesho tarehe 5/11/2023.

Hakuna haja ya kujisumbua
Matokeo nimewapeni tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo wewe ni Arsenali
 
Back
Top Bottom