Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona hata msimu haujaanza, amefanya kitu gani Karia?Karia anapambana sana Simba ipate kitu msimu huu
Si unaona wamechezesha draw ili Yanga acheze na Azam na Simba acheze na Singida hizi zote ni karatambona hata msimu haujaanza, amefanya kitu gani Karia?
Ungependa draw ingetoka na ratiba ipi, na kwa nini?Si unaona wamechezesha draw ili Yanga acheze na Azam na Simba acheze na Singida hizi zote ni karata
sema unawaogopa Azam mara ngapi Simba wamepangwa na Azam hata kombe la msimu uliopita walipambana na Simba siku chache baada ya Simba kutoka Morocco na kucheza na Namungo.Si unaona wamechezesha draw ili Yanga acheze na Azam na Simba acheze na Singida hizi zote ni karata
Yaani pale Tifuatifua kuna shida sana dhidi ya Yanga.Ratiba ya kwanza ilikuwa ni Simba na Azzam, Mara tuna kuja kuambiwa ni Yanga na Azzam.
Halafu sijui nchi gani nyingine ngao ya Jamii inagombewa na timu 4?
Yaani pale Tifuatifua kuna shida sana dhidi ya Yanga.