Derby ya Kariakoo inapoteza mvuto

Derby ya Kariakoo inapoteza mvuto

Bingwa wa league ni yanga
Bingwa wa FA ni yanga
Kwanini bungwa wa Ligi kuu asicheze na ngao ya jamii na makamu bingwa wa FA

Wanaandaa mazingira ya ligi ya ngao ya jamiu na nguvu ya waamuzi ili tu Yanga na simba zikutane
Kweli umenena vyema.
 
naamini kuuzwa/kukodishwa kwa bandari kumeunganisha Watanzania zaidi, naona mtaani kimya hakuna tambo zile za muda mrefu vijiweni, nyumbani au ofisi za watu
wengi mawazo yao yapo kwenye mkataba wa bandari, ugumu wa maisha, mafuta kupanda bei, kukosskana kwa dollar, na mengine mengi tunayopitia mtaani huku
 
naamini kuuzwa/kukodishwa kwa bandari kumeunganisha Watanzania zaidi, naona mtaani kimya hakuna tambo zile za muda mrefu vijiweni, nyumbani au ofisi za watu
wengi mawazo yao yapo kwenye mkataba wa bandari, ugumu wa maisha, mafuta kupanda bei, kukosskana kwa dollar, na mengine mengi tunayopitia mtaani huku
Labda hiyo inaweza kuwa sababu nyingine
 
Wabongo mnazingua kwa Ujuaji usio na msingi.
Kuna namna nyingi za kuonesha una " akili " au " Upeo" tofauti na hii ya kukosoa kila kitu.
1. Simba na Yanga ni timu kama timu Zingine.

2. Kanuni za Ligi kuu zinafahamika.
Bingwa wa FA na Bingwa wa Ligi watacheza Mechi ya Ngao ya hisani kuashiria kuanza kwa ligi ( saiv kanuni imerekebishwa zimekuwa team nne badala ya 2).

3. Haijalishi ni team gani zimechukua kombe na kushika nafasi za juu Ngao ya jamii lazima ifanyike.

4. Uwezo wa uwanja wa mkwakwani ni Mdogo, ukiweka kiingilio Kidogo unaweza sababisha Vurugu. Weka kiingilio kikubwa kupunguza watu.
Kubali tuu....derby inapoteza mvuto. Ni kweli.
 
Back
Top Bottom