Derby ya Kariakoo isiamuliwe na Mtanzania tena

Derby ya Kariakoo isiamuliwe na Mtanzania tena

Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
JamiiForums-312072181.jpeg
 
Though league yetu bado iko nyuma sana katika aspect ya referees. Ila isiwe hadi kwenye Dabi... makosa yaleyale na hata hao referees tunaodhani hawawezi kukosea?

Mechi ya juzi tumenyongwa wanasimba... tuichukulie Dabi serious, especially kama tunaamini ni ya 3 kwa bora africa. Vilabu vyetu ni vikubwa hili la kuchezesha dabi kama mechi za ndani ni kushusha thamani.

Soma Pia: FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024
TFF wakiondoa pamba zilizo ziba kwenye masikio yao
 
Mnalalamika sana kwa sababu mlikuwa na matumaini makubwa ya kushinda ila kwa sisi wengine tulikuwa tunawashangaa tu.
Mimi ni mpenzi wa Simba ila nilipoona mechi na Coastal union,nikajua ngoma bado mbichi.

Tatizo lenu mashabiki wengi wa Simba mnaongea hovyo tu na kuwasifu wachezaji na hadi wao wanaingia kwenye upumbavu huo huo wa kujigamba bila kujua mnampa adui tahadhari ajiandae vuzuri kuwakabili.

Kwani mkiwaachia waseme wao mnapungukiwa nini?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hao mashabiki wa Simba hawautaki ukweli
Yaani wanaona Simba anastahili kuifunga Yanga yenye mizizi kikosi cha Yanga Kimekaa muda mrefu

Kikosi cha Simba kina miezi minne ila mbumbumbu wapo hapa wanalia tu

Tulia Jenga timu, viongozi walete wachezaji quality
 
Hao mashabiki wa Simba hawautaki ukweli
Yaani wanaona Simba anastahili kuifunga Yanga yenye mizizi kikosi cha Yanga Kimekaa muda mrefu

Kikosi cha Simba kina miezi minne ila mbumbumbu wapo hapa wanalia tu

Tulia Jenga timu, viongozi walete wachezaji quality
Sidhani kama kuna gape kubwa kama mnavyo hisi. Hizi timu zote ziko sawa in terms of quality.
 
Back
Top Bottom