Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
Siku zote kwangu mimi
Kama mtu hujui kutumia manual
Huwa nakuona bado hujajua Gari!
Ova
Kabisa alafu kuwa na gari manual ni faida sana, omba omba wanapungua. Mtu anakuja kuazima gari unampa funguo anarudisha chapu anaacha uchafuzi hahaha.