Sheria inamlinda Kondoo na Bata tu ambao ndio wanaohesabika ni wanyama wanye muelekeo maalum i.e Kondoo akiwa anavuka barabara ni angalabu kubabaika kurudi alikotokea,kadhalika bata!
sheria ya konokono ni moja na ya kobe.........
konokoo je?
sheria ya konokono ni moja na ya kobe.........
kinyonga vipi
Wewe ni mmoja wa watu nliosikitika kutowaona nlipokuja Arusha...