hivi ikitokea mtu unaendesha chombo cha moto km vile pkpk au gari kwa bahati mbaya mbele yako akakatza mfugo wa nyumbn km vile ng'ombe au kuku kwa ghafla na ukashndwa kufnga break nakumgonga Je sheria inasemaje kuhsu wakushtakiwa kati ya mwenye mfugo na dereva?