Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Wewe Dar unaijua mchana tu... Tulia
Yan usiku gari ikatafute abiria oilcom[emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Dar unaijua mchana tu... Tulia
Daladala inasimama popote akiwepo abiria labda trafiki awepo ndio hatasimama.Yan usiku gari ikatafute abiria oilcom[emoji3][emoji3]
@kajojo out of mada nimependa avatar yako [emoji2][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Uzi mzuri kwenu ni ule wa kumsifia kibaraka nyingine zote mtaziita buku Saba au hazina maanaUjinga ujinga tu[emoji3][emoji3]
Eti raha ya flyover, na hii nayo unakula buku 7 sio?
Neno URODA limetumika lisipostahili....
Dereva kama kawaida yao wanatumiaga akili za konda kuendesha gari nae akapita chini wakati abiria walikua wanaham kupita juu maana wengi walikua hawajaizindua bado na hawakupenda kitendo hicho cha utovu wa nidhamu cha kuwanyima uroda wa flyover wakaanza kurusha maneno...
Ndipo safari ikaendelea huku abiria wakiangalia kwa uchungu jinsi magari mengine yanavyopita juu ya flyover wakati wao wamenyimwa hiyo raha.
Mgombea wetu wa CCM akiwa Zanzibar anawaeleza Wazanzibar kuwa wasiondoke uwanjani hapo maana akimaliza hotuba bado Kuna show kabambe kutoka kwa wasanii na watamuona nae akicheza.... Wazenji nao viburi wakaondoka wakati anazungumza. Aisee!Juzi siku moja baada ya uzinduzi wa barabara ya juu kuna daladala ya kutokea Makumbusho kwenda Buguruni ilileta tafrani baada ya konda kumwambia dereva asipite flyover ili ajazie abiria pale kituo cha mafuta cha Oilcom iliyo pembeni ya flyover.
Dereva kama kawaida yao wanatumiaga akili za konda kuendesha gari nae akapita chini wakati abiria walikua wanahamu kupita juu maana wengi walikua hawajaizindua bado na hawakupenda kitendo hicho cha utovu wa nidhamu cha kuwanyima uroda wa flyover wakaanza kurusha maneno.
Kilichowauma abiria zaidi ni baada ya konda kukosa abiria pale sheli ndipo wakataharuki kulikua na sababu gani kuwanyima raha. Mzozo ulikua mkubwa mpaka daladala ikapark pembeni na kondakta kukunjwa shati huku dereva akisema yeye alimsikiliza konda ila nae alitamani kupita juu.
Kondakta huyo ilibidi awe mpole baada ya kuona gari zima limechachamaa na kulazimika kuomba radhi na kukiri hadharani kwamba hatorudia tena kufanya upuuzi wa aina hiyo na ndipo safari ikaendelea huku abiria wakiangalia kwa uchungu jinsi magari mengine yanavyopita juu ya flyover wakati wao wamenyimwa hiyo raha.
Mkuu pale hakuna kituo ila ni dark bus stop kwa wale wanaopata shida kwenda simu.Oil com pana kituo toka lini? Wewe kubali tu kwamba hii story umetunga...
Vipi wewe ndio ulimkunja konda?