Dereva na konda wanusurika kichapo baada ya kuwanyima abiria raha ya Flyover

🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Mimi ndio sijaelewa au mleta uzi amedanganya. Kwanijuavyo, ukipita barabara ya chini kabisa, hauwezi kumuona aliyepita juu kule kuelekea riverside. Hao abiria waliokuwa wakiwatazama wengzao kwa uchungu kule juu wana shingo size gani
 
Hamna kitu hapa zaidi ya chai, we lamba buku Saba yako sepa
 
Ujinga ujinga tu[emoji3][emoji3]
Eti raha ya flyover, na hii nayo unakula buku 7 sio?
Uzi mzuri kwenu ni ule wa kumsifia kibaraka nyingine zote mtaziita buku Saba au hazina maana
 
Neno URODA limetumika lisipostahili.
 
Banamume ba dar balilia flyover ati balitaka kupita juu bagapitishwa chini bagalalamika kiasi cha kumutowa roho kondakita.
 
Wana Dar wanataka angalau waonje matumizi ya kodi yao, maana si kwa ukapa huu!
 
Ndipo safari ikaendelea huku abiria wakiangalia kwa uchungu jinsi magari mengine yanavyopita juu ya flyover wakati wao wamenyimwa hiyo raha.

Hii ndio pekee iliyonivutia sana pia inafurahisha.
 
Mgombea wetu wa CCM akiwa Zanzibar anawaeleza Wazanzibar kuwa wasiondoke uwanjani hapo maana akimaliza hotuba bado Kuna show kabambe kutoka kwa wasanii na watamuona nae akicheza.... Wazenji nao viburi wakaondoka wakati anazungumza. Aisee!
 
Oil com pana kituo toka lini? Wewe kubali tu kwamba hii story umetunga...

Vipi wewe ndio ulimkunja konda?
Mkuu pale hakuna kituo ila ni dark bus stop kwa wale wanaopata shida kwenda simu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…