Guyz am serious looking for a job
Kama uko serious mbona hujibu swali?Kaka hilo jina unatupa mashaka sasa, madoido na barabarani wapi na wapi!..........
Otherwise nakutakia mafanikio nina imani utapata soon, hautaki daladala?
Always JF never boring!!dah!!Kaka hilo jina unatupa mashaka sasa, madoido na barabarani wapi na wapi!..........
Otherwise nakutakia mafanikio nina imani utapata soon, hautaki daladala?
Hii ni nzuri! Lakini the last I remember gia za gari hazijui Bible. I'll tel a friend of mine I think ana sifa zoteJana kanisani kwetu wametangaza wanaitaji dereva awe class d.sharti muhimu na gumu uwe umeokoka location tabata-amani christian centre TAG.panda gari za tabta segerea shuka barakuda uliza madereva bodaboda lilipo kanisa deadline tarehe 27 NOV.