Dereva wa Basi mlilopanda mkiona anaendesha vibaya huku akiwaambia ataongeza Spidi zaidi hadi mkome jueni Maafa yanakuja

Dereva wa Basi mlilopanda mkiona anaendesha vibaya huku akiwaambia ataongeza Spidi zaidi hadi mkome jueni Maafa yanakuja

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
"Katika miaka hii mitano nitakuwa mkali ninyi, kwa sababu sihitaji kupigiwa kura wala sigombei tena Urais. Katika miaka hii watakoma wasaidizi wangu. Ambao hawahitaji kuwa mawaziri au wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya ni afadhali waachie."- Rais Dkt. @MagufuliJP mkoani Kagera.

Sasa All - Rounder nimeshajua ni kwanini hivi sasa Madereva wasaidizi nao wameamua Kuuwasha Moto kwa Kupiga Viboko na Kukomoa Watu.

Taarifa: swahilitimes
 
"Katika miaka hii mitano nitakuwa mkali ninyi, kwa sababu sihitaji kupigiwa kura wala sigombei tena Urais. Katika miaka hii watakoma wasaidizi wangu. Ambao hawahitaji kuwa mawaziri au wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya ni afadhali waachie."- Rais Dkt. @MagufuliJP mkoani Kagera..
This is rubbish, hufanyi kwa vle hutagombea urais, hufanyi kwa vile there is a good reason for not doing that!
 
This is rubbish, hufanyi kwa vle hutagombea urais, hufanyi kwa vile there is a good reason for not doing that!
Hivi lile Ombi muhimu na kubwa lake Mbunge Msukuma kuwa Viongozi wote hadi VIP's wapimwe kama Wanavuta Bangi sana lilishia wapi Ndugu?
 
Kagame akiyasema haya miaka 15 iliyopita wanyarwanda wakamwamini lkn hadi leo yuko ikulu.

N.B: Jiwe ni swahiba wa PK
Urafiki wako umeshakwisha na sasa nchi zote mbili zinafanyiana mno Ujasusi na huenda huko mbele yale yale ya Kipindi cha JK na PK yakajirejea.
 
atajitangaza rais wa maisha..... msidanganyike
Ameona vigezo vinamzuia kuwa Rais wa maisha. Afya ndiyo kigezo kikubwa. Isitoshe ameshuhudia mwenyewe wakati wa kampeni za 2020 ni kiasi gani raia HAWAMPENDI.

Ile mbinu ya kutumia ma DSO kandika matokeo hawezi kufanikiwa 2025
 
Kna mhandisi huko kagera kaambiwa kichwa kama GN [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nmemuonea huruma lakini ndiyo hivyo
Hapa kazi tu

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Ameona vigezo vinamzuia kuwa Rais wa maisha. Afya ndiyo kigezo kikubwa. Isitoshe ameshuhudia mwenyewe wakati wa kampeni za 2020 ni kiasi gani raia HAWAMPENDI.

Ile mbinu ya kutumia ma DSO kandika matokeo hawezi kufanikiwa 2025
Dictators never care! " Power becomes destructive when it disjoins itself from remorse" c&p
 
Mimi nasema hivii "safi kabisa , JPM baba kazia hapo hapo mpaka akili zitukae sawa.

Wacha tuongee lugha moja wote"

Nasitiza Mitano tenaa.
 
Back
Top Bottom