DEREVA WA GARI LILOPATA AJARI MOROGORO

DEREVA WA GARI LILOPATA AJARI MOROGORO

Jamaa alimuonya abiria wake kwamba mzee baba huwa moto unatokea abiria akazingua yaani Israel alimng'ang'ania lakini kilichonishangaza jamaa hadi kaingia ndani ya gari
Kiufupi kabla ya kuchukua initiative yoyote ya uokoaji lazima kusoma mazingira na aina ya tukio ndio maana ukivamiwa watu au hata polisi huwa hawaji mapema maana hujui adui ana nini na mazingira aliko
Mwisho kwenye fire fighting usije jaribu kuokoa kama unahisi moto unaweza kilizidi narudia tulifundishwa kuhisi na kutumia common sense tu.pole kwa hao jamaa
 
Back
Top Bottom