Mwenye uhitaji wa Dereva anaye peleka magari madogo mikoani na mipakani nipo kwa ajili hiyo, bei zangu rafiki sana na nafanya kwa uaminifu mkubwa sana.
Napeleka magari yanayotoka bandarini na kuyapeleka kwa wahusika pia napeleka yale ya transit hadi mpakani. Bei zangu ni kama ifuatavyo:
1. Dar- Tunduma sh 230,000
2. DAR-Arusha sh 200,000
3. Dar-Kigoma sh 320,000
4. DAR-Mbeya sh 300,000
5. Arusha-Mwanza sh 220,000
6. Dar - Mwanza sh 250,000
Maeneo mengine ni makubaliano, pia tunaweza kuzungumza kuhusu bei. Napatikana kwa namba 0628642473
Napeleka magari yanayotoka bandarini na kuyapeleka kwa wahusika pia napeleka yale ya transit hadi mpakani. Bei zangu ni kama ifuatavyo:
1. Dar- Tunduma sh 230,000
2. DAR-Arusha sh 200,000
3. Dar-Kigoma sh 320,000
4. DAR-Mbeya sh 300,000
5. Arusha-Mwanza sh 220,000
6. Dar - Mwanza sh 250,000
Maeneo mengine ni makubaliano, pia tunaweza kuzungumza kuhusu bei. Napatikana kwa namba 0628642473