GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,913
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waziri kumreplace ni mda mfupi tu bila serikali kuingia gharama yoyote labda karatasi na wino kidogo. Mlinzi yupo tu kama msaidizi.Kwann mlizi wa waziri nimfupi sana sniper kisogoni hapo hawezi tatua matamanio yake
Walinzi warefu hawazuii sniper bali wanakuwepo waweze kuona mbele na kuzuia watu wanaotaka kufanya stabbing au kuleta fujo tu. Most sniper riffles risasi zake hazipungui nguvu kwa kumpenya mtu mmoja. Miaka ya 2010s kuna sniper nchini Afghanistan kama sio Mcanada ni Mmarekani aliua magaidi wawili kwa risasi moja wakiwa mamia ya mita mbali naeKwann mlizi wa waziri nimfupi sana sniper kisogoni hapo hawezi tatua matamanio yake
Iyo ya tunduma darSaa 2 usiku Sauli ya Mbeya ipo Kibaha? Au ni ya Tunduma?
Aibu sana kwa mwanaume kumpigia goti dume mwenzio mbele ya camera,chance ya kumsameheka ni ndogoamsamehe tu! kwa goti lile