Inapenda camera balaa usikute wametengeneza movieKunasiku kampuni hii italeta matatizo na inawapenzi wengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inapenda camera balaa usikute wametengeneza movieKunasiku kampuni hii italeta matatizo na inawapenzi wengi
Simbachawene yuko humble sanaWaziri anambembeleza mhalifu. Dah!
Huwez jua.. labda waziri alikua kwenye misele yake akaliona akaamua kuunga.. mbona ishu ndogo sana. Ila sizan kua waziri anaweza kuweka kituo hapo kwa ajili ya kukagua gari..Nchi ngum hii yani mpaka waziri anakagua magari
Lazima uonekane otherwise utaitwa waziri mzigoSio kazi ya waziri
100% brother , niliwahi kumpiga mkwara mzito dreva wa abood ya kutoka Mwanza ilikuwa bado kidogo atumwage pale kibaigwa na akatambua kosa lake akatokea abiria mvivu wa kufikiri akamtetea yule dreva Ndio nikajua kwanini ajali za mabasi zinatokea mara kwa mara TanzaniaHuwa mnawapa sifa za kijinga sana hawa madereva. Subiri wawachinje.
Waziri itakuwa alikuwa msibani hapo kibaha kwa kwandika inawezekana wakati wa kurudi ndio kakutana na hiyo sauliNchi ngum hii yani mpaka waziri anakagua magari
Hutu jamaa hafai kuendesha abiria#KIBAHA: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, akimuhoji Dereva wa Basi la Sauli Luxury Namba T418 DWF litokalo Mbeya kuelekea jijini Dar es Salaam, kwa kuvunja sheria za usalama barabarani, leo Jumatano Agosti 4, 2021, Saa 2:17 Usiku, Mjini Kibaha, Mkoani Pwani. https://t.co/W6YULzGX9cView attachment 1880100View attachment 1880105
Cc Bujibuji
Ninadhani ni msaidizi/Personal Assistant. Ulinzi sio miongoni mwa majukumu yake.Kwann mlizi wa waziri nimfupi sana sniper kisogoni hapo hawezi tatua matamanio yake
Lakini Usalama wa raia na mali zao, wizara anayoisimamia ndio yenye dhamana. Aliona Jambo haliendi sawa sio dhambi kuchukua hatua.Sio kazi ya waziri
Kwamba inawezekana kuna mtu aliiba route ya mwenzie!? 😂😂😂Huyu waziri naonaga amefanana na Mbowe