Namche Bazar
Senior Member
- Apr 8, 2019
- 116
- 176
Habari za mchana?
Kuna shule ya watoto wadogo nursery school iliyopo wilayani Muheza Tanga inatafuta madereva 2 wa kuendesha Hiace za shule.
Sifa kubwa awe anajua kuendesha vizuri na kuwa na leseni hai Class C.
Awe na upendo kwa watoto wadogo.
Itapendeza sana endapo atapatakana mkazi wa maeneo ya Muheza,Pongwe au KILAPULA.(au maeneo jirani na hayo).
Mwenye kuhitaji aje PM kwa mawasiliano zaidi na wenye shule.
Kuna shule ya watoto wadogo nursery school iliyopo wilayani Muheza Tanga inatafuta madereva 2 wa kuendesha Hiace za shule.
Sifa kubwa awe anajua kuendesha vizuri na kuwa na leseni hai Class C.
Awe na upendo kwa watoto wadogo.
Itapendeza sana endapo atapatakana mkazi wa maeneo ya Muheza,Pongwe au KILAPULA.(au maeneo jirani na hayo).
Mwenye kuhitaji aje PM kwa mawasiliano zaidi na wenye shule.