Kubali kwenda mahakamani, lkn jiaandae kutaja alipo dereva wako. Ukishindwa kutaja kesi unayo lkn si ya usalamaGari yangu nitaipataje pale? Maana wanataka hela...
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Una elimu gani? Hujawahi kusikia tajiri anawajibishwa kwa kosa la mfanyakazi? Ili akwepe kesi shart amlete dereva kwani huwezi ajiri usiyemjua
Kama wamekupeleka mahakamani that's okay, you didn't comment the offense and you are responsble ndio maana ulikwenda police kujua tatizo. Utalipa fine kawaida ili warelease the vehicle na ukiamua kunyooka na police unaweza kwa sababu hawakuwa na sababu kukuweka lock up
Alipe faini ya nini tena mkuu?
Kaka kuna acts ambazo an employer anakualiable kwa acts za employee wake..hii kisheria inaitwa vicarious liable..liability yako itakuja iwapo kuna vitu ulikua na uwezo wa kuvicontrol dereva wako asivifanye kabla ya kupata ajali..mfano, kuhakikisha dereva wako yuko sobber b4 ya safari ama gari iko in a gud condition tairi ziko poa na kila kitu,kuhusu kufungwa..somthng lyk false imprisonment inaweza kuaply bt rely kwa writ ya herbius corpus...
Tarehe 31 december asubui derevva wangu aligonga mtu akafari pale pale na hakusimama na kakimbia na kuterekeza gari, polisi wameichukua gari, na kesi ipo mahakamani, sasa me mmiliki wa gari niliifuata gari wakaniweka rock up mpaka Dereva apatikane nimekaa siku mbili...sijajua kwa nini walinikamata na kuniweka ndani wakati me sijapatisha ajali na sikuwepo hapo? maana sasa kesi inapelekwa mahakamani na sijajua nitajibu nini kule na ni mara yangu ya kwanza kusimama mahakamani
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Una elimu gani? Hujawahi kusikia tajiri anawajibishwa kwa kosa la mfanyakazi? Ili akwepe kesi shart amlete dereva kwani huwezi ajiri usiyemjua