Dereva wangu kaua kakimbia

Dereva wangu kaua kakimbia

MSATULAMBALI

Senior Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
187
Reaction score
55
Tarehe 31 december asubui derevva wangu aligonga mtu akafari pale pale na hakusimama na kakimbia na kuterekeza gari, polisi wameichukua gari, na kesi ipo mahakamani, sasa me mmiliki wa gari niliifuata gari wakaniweka rock up mpaka Dereva apatikane nimekaa siku mbili...sijajua kwa nini walinikamata na kuniweka ndani wakati me sijapatisha ajali na sikuwepo hapo? maana sasa kesi inapelekwa mahakamani na sijajua nitajibu nini kule na ni mara yangu ya kwanza kusimama mahakamani

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Gari yangu nitaipataje pale? Maana wanataka hela...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kama wamekupeleka mahakamani that's okay, you didn't comment the offense and you are responsble ndio maana ulikwenda police kujua tatizo. Utalipa fine kawaida ili warelease the vehicle na ukiamua kunyooka na police unaweza kwa sababu hawakuwa na sababu kukuweka lock up
 
Tafuta wakili fasta...mahakamani ni noma...
 
Umeonewa kuwekwa ndani ilitakiwa wakuambie wakupe ushirikiano wa kumpata Dereva wako na si kukuweka ndani,kesi ya kugonga na kuua fine sh elfu 20 na leseni ananyang'anywa huyo dereva wako nashangaa kwanin alikimbia? Kama wanataka rushwa wapelekee hela za moto(takukuru) wapate joto ya jiwe.
 
Kama wamekupeleka mahakamani that's okay, you didn't comment the offense and you are responsble ndio maana ulikwenda police kujua tatizo. Utalipa fine kawaida ili warelease the vehicle na ukiamua kunyooka na police unaweza kwa sababu hawakuwa na sababu kukuweka lock up

Mambo ya mahakamani unaweza jikuta unawekwa ndani...trafiki alieshika jalada anataka hela kwani kanambia mapema sana kupeleka kesi mahakamani...sijajua jalada linachukua muda gani likaamuliwe kisheria mahakamani

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kaka kuna acts ambazo an employer anakualiable kwa acts za employee wake..hii kisheria inaitwa vicarious liable..liability yako itakuja iwapo kuna vitu ulikua na uwezo wa kuvicontrol dereva wako asivifanye kabla ya kupata ajali..mfano, kuhakikisha dereva wako yuko sobber b4 ya safari ama gari iko in a gud condition tairi ziko poa na kila kitu,kuhusu kufungwa..somthng lyk false imprisonment inaweza kuaply bt rely kwa writ ya herbius corpus...
 
Kaka kuna acts ambazo an employer anakualiable kwa acts za employee wake..hii kisheria inaitwa vicarious liable..liability yako itakuja iwapo kuna vitu ulikua na uwezo wa kuvicontrol dereva wako asivifanye kabla ya kupata ajali..mfano, kuhakikisha dereva wako yuko sobber b4 ya safari ama gari iko in a gud condition tairi ziko poa na kila kitu,kuhusu kufungwa..somthng lyk false imprisonment inaweza kuaply bt rely kwa writ ya herbius corpus...



Dah! Sasa mkuu kwa sisi tusiowanasheria unafikiri tumekuelewa hapo na hizo terms za ki-latin? Hebu funguka kiswahili na wengine tupate elimu.
 
Mambo ya mahakamani unaweza jikuta unawekwa ndani...trafiki alieshika jalada anataka hela kwani kanambia mapema sana kupeleka kesi mahakamani...sijajua jalada linachukua muda gani likaamuliwe kisheria mahakamani

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kwa kosa lipi, wewe MSATULAMBALI wamekufungulia kesi gani? Hiyo gari ni ya biashara au?..maana isijekuwa wewe ndiye uligonga halafu umebadili maelezo ili kujing'atua!
 
Last edited by a moderator:
Kaka kuna acts ambazo an employer anakualiable kwa acts za employee wake..hii kisheria inaitwa vicarious liable..liability yako itakuja iwapo kuna vitu ulikua na uwezo wa kuvicontrol dereva wako asivifanye kabla ya kupata ajali..mfano, kuhakikisha dereva wako yuko sobber b4 ya safari ama gari iko in a gud condition tairi ziko poa na kila kitu,kuhusu kufungwa..somthng lyk false imprisonment inaweza kuaply bt rely kwa writ ya herbius corpus...

Ongea kama unaongea na mteja wako asiyejua lugha hizo za kisheria!
 
Mambo ya mahakamani unaweza jikuta unawekwa ndani...trafiki alieshika jalada anataka hela kwani kanambia mapema sana kupeleka kesi mahakamani...sijajua jalada linachukua muda gani likaamuliwe kisheria mahakamani

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Hiyo mikwara ya mahakamani kutoka kwa trafiki ni kwaida ili wakutishe utoe ushirikiano. Mkuu kesi ya mauaji barabarani haifungi mtu faini ni 20,000/= labda kama gari yako haina vibali muhimu halafu unasababisha ajali barabarani hiyo ni kesi nyingine.
 
  • Thanks
Reactions: PYD
Naomba hizo hasira za kuwekwa ndani uzimalizie kwenye sanduku la kura.
 
Kwa kosa lipi, wewe MSATULAMBALI wamekufungulia kesi gani? Hiyo gari ni ya biashara au?..maana isijekuwa wewe ndiye uligonga halafu umebadili maelezo ili kujing'atua!

Gari sio ya biashara ni ya kutembelea tu sasa me nilisafiri nikampa kijana flani awe anampeleka bi mkubwa popote kwenye dili zake, usiku wa tar. 30 inaonekana aliondoka nayo disko sijui baa, asubui saa 11 ndo kizaa zaa kilipotokea...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Kaka kuna acts ambazo an employer anakualiable kwa acts za employee wake..hii kisheria inaitwa vicarious liable..liability yako itakuja iwapo kuna vitu ulikua na uwezo wa kuvicontrol dereva wako asivifanye kabla ya kupata ajali..mfano, kuhakikisha dereva wako yuko sobber b4 ya safari ama gari iko in a gud condition tairi ziko poa na kila kitu,kuhusu kufungwa..somthng lyk false imprisonment inaweza kuaply bt rely kwa writ ya herbius corpus...

Elimu hii ni nzuri sana ila tatizo ni lugha uliyoitumia mkuu ebu funguka kwa lugha rahisi ili tufaidike na weledi wako ktk sheria
 
Huna kesi ya kujibu na police wamekuonea
Una elimu gani? Hujawahi kusikia tajiri anawajibishwa kwa kosa la mfanyakazi? Ili akwepe kesi shart amlete dereva kwani huwezi ajiri usiyemjua
 
Gari sio ya biashara ni ya kutembelea tu sasa me nilisafiri nikampa kijana flani awe anampeleka bi mkubwa popote kwenye dili zake, usiku wa tar. 30 inaonekana aliondoka nayo disko sijui baa, asubui saa 11 ndo kizaa zaa kilipotokea...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Naam, hapo ndiyo shughuli inapoanzia, utaithibitishia vipi mahakama kwamba si wewe uliyekuwa unaendesha gari hiyo? Halafu haujasema pale wewe umefunguliwa kesi gani?
 
Back
Top Bottom