MSATULAMBALI
Senior Member
- Apr 1, 2012
- 187
- 55
Tarehe 31 december asubui derevva wangu aligonga mtu akafari pale pale na hakusimama na kakimbia na kuterekeza gari, polisi wameichukua gari, na kesi ipo mahakamani, sasa me mmiliki wa gari niliifuata gari wakaniweka rock up mpaka Dereva apatikane nimekaa siku mbili...sijajua kwa nini walinikamata na kuniweka ndani wakati me sijapatisha ajali na sikuwepo hapo? maana sasa kesi inapelekwa mahakamani na sijajua nitajibu nini kule na ni mara yangu ya kwanza kusimama mahakamani
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums