njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
bora kapumbu huyo dereva teksi tena zile teksi bubuHuyu sio sawa na KAPUMBU
🤣
Yaani ana miaka 25 na unasema aliwahi kucheza soka, mbona miaka 25 michache kwa mchezaji kustaafu? Ilikuwaje kijana mdogo hivyo aliyebahatika kucheza hadi Belarusi aache soka Belarusi ajihusishe na udereva Misri?Anaitwa Jean Morel poe ni mu ivory coast ana miaka 25 aliwahi kucheza soka la kulipwa belarus, kwa sasa anafanya kazi za u dereva teksi katika jiji la ismailia na jana alikuwa mojawapo ya madereva teksi na wasafisha uwanja waliocheza na simba na akafunga goli
Hahahaaaa mkuu hapo kuna watu wanapewa majibu kwa njia ndefu!.Yaani ana miaka 25 na unasema aliwahi kucheza soka, mbona miaka 25 michache kwa mchezaji kustaafu? Ilikuwaje kijana mdogo hivyo aliyebahatika kucheza hadi Belarusi aache soka Belarusi ajihusishe na udereva Misri?
Maisha magumu huwa pia anasafisha uwanja wa team ya ismailia yeye na wenzake waliocheza jana na simbaYaani ana miaka 25 na unasema aliwahi kucheza soka, mbona miaka 25 michache kwa mchezaji kustaafu? Ilikuwaje kijana mdogo hivyo aliyebahatika kucheza hadi Belarusi aache soka Belarusi ajihusishe na udereva Misri?
🤣🤣🤣🤣jamaa ana vipaji vingi hadi namuonea wivu, dereva taxi, msafisha viwanja na bado anajua kusakata boli😂😂😂Maisha magumu huwa pia anasafisha uwanja wa team ya ismailia yeye na wenzake waliocheza jana na simba
Wenzetu vikosi mmevitoa wapi waliocheza mechi ya jana? Embu tuletee kikosi kamili cha jana kwa timu zote mbiliAnaitwa Jean Morel poe ni mu ivory coast ana miaka 25 aliwahi kucheza soka la kulipwa belarus, kwa sasa anafanya kazi za u dereva teksi katika jiji la ismailia na jana alikuwa mojawapo ya madereva teksi na wasafisha uwanja waliocheza na simba na akafunga goli
View attachment 2294906
ahaa, sasa nimeelewa!Hahahaaaa mkuu hapo kuna watu wanapewa majibu kwa njia ndefu!.
HAO MADEREVA TEKSI WENGINE NI WAHAMIAJI HARAMU toka libya na west africa hawakutumia majina yao halisi..kwa kifupi simba wanapoteza muda, ni ushamba tu kwenda nje ya nchi pre seasonWenzetu vikosi mmevitoa wapi waliocheza mechi ya jana? Embu tuletee kikosi kamili cha jana kwa timu zote mbili
ismailia tena? hao ni madereva teksi na wasafisha uwanja wa team ya ismailiaKwa hiyo kwa sasa akili zenu zote zimehamia kwa Ismailia na wachezaji wake! Na siyo kwa yena Sopu na Coastal union yake!!
sis sio wenzako tafuta wajinga wenzio eebooo!Wenzetu vikosi mmevitoa wapi waliocheza mechi ya jana? Embu tuletee kikosi kamili cha jana kwa timu zote mbili
Mleta mada kaiweka kitaalamu sana ndio maana umeingia kichwakichwaYaani ana miaka 25 na unasema aliwahi kucheza soka, mbona miaka 25 michache kwa mchezaji kustaafu? Ilikuwaje kijana mdogo hivyo aliyebahatika kucheza hadi Belarusi aache soka Belarusi ajihusishe na udereva Misri?