Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaelewa somo tu hapa mkuu?Yaani ana miaka 25 na unasema aliwahi kucheza soka, mbona miaka 25 michache kwa mchezaji kustaafu? Ilikuwaje kijana mdogo hivyo aliyebahatika kucheza hadi Belarusi aache soka Belarusi ajihusishe na udereva Misri?
Hii mbona iko vizuri tu ila washabiki wa ile timu yenye chuo cha kuzalisha wajinga ndiyo hawaelewi somoJamiiForums kuna watu wanajua kuunga unga story sana[emoji23][emoji23][emoji1787], hii kwa nini isipelekwe kule kwenye jukwaa la udaku
Hiyo ya Sopu ilishapita sasa hivi ni jinsi Simba wanavyopoteza muda na pesa kucheza na waokota mipira huko.Kwa hiyo kwa sasa akili zenu zote zimehamia kwa Ismailia na wachezaji wake! Na siyo tena kwa Sopu na Coastal union yake!!
Manara mtu mbadi sana😂😂😂Hii mbona iko vizuri tu ila washabiki wa ile timu yenye chuo cha kuzalisha wajinga ndiyo hawaelewi somo
Kutosha vyoo na vyombo je.🤣🤣🤣🤣jamaa ana vipaji vingi hadi namuonea wivu, dereva taxi, msafisha viwanja na bado anajua kusakata boli😂😂😂
nilichelewa kuelewa mkuu! Kumbe ni sanaa za uwasilishaji za njaakalihatariHujaelewa somo tu hapa mkuu?