Dereve teksi aliyeifunga simba aliwahi cheza soka la kulipwa

Dereve teksi aliyeifunga simba aliwahi cheza soka la kulipwa

Hv kikosi cha jana mtu unakijuaje??khaa kuna watu uongo ni kama chakula kwenu
 
Yaani ana miaka 25 na unasema aliwahi kucheza soka, mbona miaka 25 michache kwa mchezaji kustaafu? Ilikuwaje kijana mdogo hivyo aliyebahatika kucheza hadi Belarusi aache soka Belarusi ajihusishe na udereva Misri?
Hujaelewa somo tu hapa mkuu?
 
JamiiForums kuna watu wanajua kuunga unga story sana[emoji23][emoji23][emoji1787], hii kwa nini isipelekwe kule kwenye jukwaa la udaku
Hii mbona iko vizuri tu ila washabiki wa ile timu yenye chuo cha kuzalisha wajinga ndiyo hawaelewi somo
 
Kwa hiyo kwa sasa akili zenu zote zimehamia kwa Ismailia na wachezaji wake! Na siyo tena kwa Sopu na Coastal union yake!!
Hiyo ya Sopu ilishapita sasa hivi ni jinsi Simba wanavyopoteza muda na pesa kucheza na waokota mipira huko.
 
Back
Top Bottom